CCM hali tete Msumi

CCM hali tete Msumi

Kazohera

Member
Joined
Nov 22, 2013
Posts
9
Reaction score
0
Hali ya mgombea wa CCM ktk uchaguzi wa serikali ya mtaa wa Msumi ni tete, mgombea huyo anayejulikana kama mwalimu Gulam ameshindwa kujieleza mbele ya wapiga kura na kuambulia kuzomewa, Vijana kwa wazee wanaiunga mkono chadema chama ambacho kimekua kwa kasi hapa Msumi pia ina vijana wanaojua kujenga hoja zenye tija kwa taifa.
 
Back
Top Bottom