Ndugu aminiusiamin mm mtanzania hutanisoma tu namaanisha saa tano inakaribia hiyo wezi hatutaki kuwaona ndan wakichangia hoja umeninukuu vibaya shekh hela iliyo liwa hapo mpwa tunajengwa viwanjwa vitano kama hiki tulichonacho cha taifa kama inaweza kujenga viwanjwa vtano je dawa ingekua na tatizo au madawati au vitanda hsptl waliketa ujinga kama jana tunanyanyua majeshi kama kawa kama dawa wezi watooookeeeeeer