Kwanza napenda kutoa pole kwa wana CCM wenzangu kwa kupoteza jimbo letu la Arumeru Mashariki na pia Nakipongeza Chadema kwa ushindi mwembamba walioupata katika jimbo la Arumeru na pia na mpongeza J. Nasari kwa kupewa ridhaa na Wana Arumeru kuwa Mbunge wao ila namatahadharisha 2015 sio mbali kwana CCM tunakwenda kurudisha jimbo letu tulilolipoteza siku ya tarehe 1/04/2012.
Kwa wana CCM wenzangu tunatakiwa kutambua sasa kuwa kila kizazi kinahitaji mapinduzi yake mapya hivyo basi tujipange kuanzisha vuguvugu la mapinduzi mapya kwa kizazi cha sasa ili tuweze kujiamarisha na kuendelea kukubalika kwa wananchi wote wa Tanzania. Kila mapinduzi yana gharama yake tusiogope kufanya maumuzi magumu kwa manufaa ya kizazi kipya cha watanzania na kwa manufaa ya chama.
Wahenga walishasema "Only the wisest and stupidest of men never change." and "Change is the law of life and those who look only to the past or present are certain to miss the future." Wana CCM wenzangu ni muda muafaka wa kubadilika na kuleta mapinduzi mapya katika chama chetu kwa manufaa ya watanzania na wapumbafu wachache wasiokuwa na busara wanatakiwa kutoswa baharini, I mean kuvuliwa uwanachama na kuchukuliwa hatua stahiki.
Naipenda sana CCM yangu cjaona mbadala zaidi yako ila naona wanafiki na wazandiki ndani ya ccm wanaokusaliti na kuwapa nguvu genge la wahuni linatumia vibaya sauti ya Watu hasa vijana kujipatia nguvu, madaraka na matumaini ya kuitawala Tanzania. Sasa muda umefika wa kufanya Mapinduzi mapya kwa kizazi kipya kupitia CCM Mpya
[h=2]The future of our country belongs to CCM new generation and revulution tuungane pamoja kujenga Taifa letu kupitia CCM mpya.[/h]
Kwa wana CCM wenzangu tunatakiwa kutambua sasa kuwa kila kizazi kinahitaji mapinduzi yake mapya hivyo basi tujipange kuanzisha vuguvugu la mapinduzi mapya kwa kizazi cha sasa ili tuweze kujiamarisha na kuendelea kukubalika kwa wananchi wote wa Tanzania. Kila mapinduzi yana gharama yake tusiogope kufanya maumuzi magumu kwa manufaa ya kizazi kipya cha watanzania na kwa manufaa ya chama.
Wahenga walishasema "Only the wisest and stupidest of men never change." and "Change is the law of life and those who look only to the past or present are certain to miss the future." Wana CCM wenzangu ni muda muafaka wa kubadilika na kuleta mapinduzi mapya katika chama chetu kwa manufaa ya watanzania na wapumbafu wachache wasiokuwa na busara wanatakiwa kutoswa baharini, I mean kuvuliwa uwanachama na kuchukuliwa hatua stahiki.
Naipenda sana CCM yangu cjaona mbadala zaidi yako ila naona wanafiki na wazandiki ndani ya ccm wanaokusaliti na kuwapa nguvu genge la wahuni linatumia vibaya sauti ya Watu hasa vijana kujipatia nguvu, madaraka na matumaini ya kuitawala Tanzania. Sasa muda umefika wa kufanya Mapinduzi mapya kwa kizazi kipya kupitia CCM Mpya
[h=2]The future of our country belongs to CCM new generation and revulution tuungane pamoja kujenga Taifa letu kupitia CCM mpya.[/h]