CCM/CUF washambulia Wanaharakati- CDM wapinga kupitisha Mswada wa Mapitio ya Katiba

Angalia na huyu eti nae anaweka ligi na Lissu!

GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1432.jpg
First Name: Capt. John
Middle Name: Damiano
Last Name:Komba
Member Type:Constituency Member
Constituent: Mbinga Magharibi
Political Party: CCM
Office Location: P.O.Box 60161, Dar es Salaam
Office Phone: +255 754 284527
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Lituhi Primary SchoolPrimary Certificate19631970PRIMARY
Songea Boys' Secondary SchoolO-Level Education19711974SECONDARY
Kleruu Teachers' Training CollegeCertificate (Teaching)19751976CERTIFICATE
Cadet Training Unit - MonduliDiploma19781979DIPLOMA
Magdeburg Path - Germany
Diploma (Political)19881990DIPLOMA
Washington International University
BA(Political)
20062008GRADUATE
CERTIFICATIONS
Certification Name or TypeCertification No. IssuedExpires
No items on list
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
The Parliament of TanzaniaMember - Mbinga West Constituency20052015
Chama Cha Mapinduzi, CCMChief Culture1992Todate
Tanzania One Theathre (TOT)Executive Director19922005
Tanzania People's Defence ForcesArmy Officer19781992
Ministry of EducationTeacher Grade III19771978
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position FromTo
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember - National Executive Committee, NEC 1987to date
PUBLICATIONS
Description Published Date
No items on list
SPECIAL SKILLS
Skill Name or Description Years Experience Acquired Through Skill Level
No items on list
RECOGNITIONS
Recognition Type Recognition DateReasonAction Taken
Issued by
No items on list

Duh icho chuo chenyewe utata mtupu. Si ndio kile cha akina Lukuvi et al.

Washington International University - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Kwa kweli kwa suala la nchi ya Z'bar,maoni ya Mh Lissu ni mazuri ila jinsi alivyowasilisha ndiyo inaprovoke kwa mZ'bari yeyote.. Hata ya Urais wa Kifalme nayo,ameongea vizuri ila neno hilo ni provocative kidogo...
 
nyingine hii hapa......

nimecheka mpaka machozi yamenitoka ni kicheko cha kwanza mwaka huu..kumbe Dr yuko juu kielimu hivi....weldone maji marefu



general
salutationhonourablemember picture
1738.jpg
first name:stephen
middle name:hilary
last name:ngonyani
member type:constituency member
constituent:korogwe vijijini
political party:ccm
office location:p.o. Box 60, korogwe, tanga
office phone:+255 784 459090/+255 712 006666
ext.:
office fax:
office e-mail:
member status:
date of birth


educations
school name/locationcourse/degree/awardstart dateend datelevel
kwamndolwa primary schoolprimary education19701976primary


certifications
certification name or typecertification no.issuedexpires
no items on list


employment history
company namepositionfrom dateto date
no items on list


political experience
ministry/political party/locationpositionfromto
chama cha mapinduzi, ccmmember of nec2008
chama cha mapinduzi, ccmregional economic secretary2008
chama cha mapinduzi, ccmeconomic secretary, korogwe rural2007


publications
descriptionpublished date
no items on list


special skills
skill name or descriptionyears experienceacquired throughskill level
no items on list



recognitions
recognition typerecognition datereasonaction takenissued by
no items on list



ha ha haaaaaa...uwiiiiiii huu ni unafiki sasa!!! Teh teh teh profesa maji marefu umetishaaaa....
 
Chadema walikuwa na haki ya kikanuni kutoka ndani ya bunge lakini madhara yake ni makubwa kwa taifa letu na hasa athari kubwa kwa mchakato wa katiba.

kususia ilikuwa njia ya kutuma ujumbe wa kutokukubaliana na mchakato lakini kuwemo ndani ya bunge na kuchangia mchakato ambao chadema waliukataa ungetusaidia sisi watanzania ambao tunahitaji kujua mapungufu ya mchakato huo na pengine kutuweka tayari kuunga mkono upande utakaokuwa na hoja za nguvu.

kuiacha CCM peke yake ikijenga hoja ndani ya bunge na kusikika kwetu wananchi kunatuacha njia panda kujua chadema walikuwa na lipi la kutuambia watanzania kuhusu mchakato huo.

Kama chadema wangebaki bungeni na kujenga hoja ilikuwa njia bora zaidi ya kutuachia watanzania kupima hoja na kuwa sehemu ya mchakato huo. kususa kuna faida lakini ni muhimu tukaangalia ni nani tunayemsusia yamkini tukampa faida isiyo na mashaka tunayemsusia.

Nimesikitishwa sana na kitendo cha kuliacha bunge likiendelea kujadili katiba kwa mtazamo wa upende mmoja wa kisiasa.

Jombaa hakuna hoja yoyoyte wanaojenga (Red)
 
Hivi hata darasa la 7 huyo rage alimaliza.. Hajui kuwa hao jamaa walikuwa wanatembea nchi nzima kukusanya maoni ya wananchi.

Amalizie wapi darasa la saba ilihali kwao wanapigana vita tu! Huyu hana uchungu ktk issues zinazowahusu waTZ kwani hazina tija kwake. Vita ikiisha labda atarudi kwao
 
Mkuu, huo ni mfano mmoja tuu, ipo mingi saana... amesaidia wananchi ktk vijiji vingi sana. Ndiyo maana can't imagine huyo naibu speaker amekaa hapo anakenua huku akijua wazi first hand mavituz ya TL... !! Ipo siku haya yatawatokea puani...

Naona hata maelezo yake ktk mahojiano ameficha mengine, ule mradi wa kamba Rufiji ilikuwa dili ya Mkapa na rafiki yake yule former IGP ambaye mpaka leo mtoto wake mmoja bado yupo anaishi kule Ireland !!

Hakika hawafahamu weledi wa Lissu. Lissu wakati yupo LEAT na Nshala, alifanya kazi ya kuwa legal adviser katika utekelezaji wa utunzaji shirikishi wa msitu (PFM-CBFM) wa SULEDO kule Kiteto. Katika utunzaji shirikishi wa namna ile pale SULEDO wanajamii walio katika utunzaji huo wana mamlaka wa kuamua juu ya mgawanyo wa mapato yatokanayo na mazao ya misitu, kati yao na halmashauri. Sasa kuna katika halmashauri ya Kiteto, baadhi ya watu waliokua wanataka kuwatapeli wanajamii walitaka wagawane mapato kwa asilimia 50 kwa 50. Lissu kutumia weledi na kutaka haki na taratibu zizingatiwe akawaelimisha wanajamii hao ya kwamba wao ndio wenye mamlaka katika kuamua; wanaweza kuamua kutowapa chochote au kuwapa asilimia 10. Kusikia hivyo, mkuu wa wilaya akaamuru Lissu hasionekane katika wilaya hiyo (WANTED) kwa vile anahatarisha hali ya usalama ya wilaya!!

Hakika Lissu harakati hizi hajazianza leo; na ni mweledi katika taaluma yake; na anapenda wananchi wapate haki zao.
 
Msimshangae huyu Komba kulala mjengoni ni kwasababu usiku anakua kwenye mipasho. Jina lenyewe Komba, hamjui komba ni mnyama gani?
 
hapa hatuzungumzii ubaya au uzito wa hoja za CCM bali kwamba wananchi wenye uelewa mdogo hawatajua kuwa sio hoja nzito kama upande wa pili haupo kupangua hoja hizo ....wapo watakaozipa uzito kulingana na uelewa mdogo wao
Kwa wenye uelewa mdogo unadhani hata kama CHADEMA wangebaki wao wangeelewa? Wewe mwenyewe unaona kunahoja zinatolewa na CCM?
 
ushangaa nn, ebo! Mambo ya ndoa hayo. Mimi binafsi Hamad nilikuwa namwaminia, lakini ndiyo yuko kiunyumba zaidi kwa sasa.
 
Maneno makali ya dharau yaliyotolewa na mb tundu Lissu jana kwa kweli yaliwafadhaisha wabunge wa chadema viti maalum Mh Raya hamisi na mwenzie kwa kweli niliwaona wameinamisha vichwa vyao chini wakijutia maamuzi ya wao kujiunga na chama hicho, maana hii imekuwa ni kawaida kwa Mh Lissu na wabunge wengine wa chadema kutoka bara kuwadharau wazanzibar na zanzibar, imekuwa ni majuto kwa wabunge hawa, nawashauri kuachia nafasi zao za ubunge na uanachama ili kulinda heshima ya wazanzibari na zanzibar.
 
zakazaka ni jina zuri sana, lakini sina hakika kama kichwa chako ni kizuri
 
Maneno makali ya dharau yaliyotolewa na mb tundu Lissu jana kwa kweli yaliwafadhaisha wabunge wa chadema viti maalum Mh Raya hamisi na mwenzie kwa kweli niliwaona wameinamisha vichwa vyao chini wakijutia maamuzi ya wao kujiunga na chama hicho, maana hii imekuwa ni kawaida kwa Mh Lissu na wabunge wengine wa chadema kutoka bara kuwadharau wazanzibar na zanzibar, imekuwa ni majuto kwa wabunge hawa, nawashauri kuachia nafasi zao za ubunge na uanachama ili kulinda heshima ya wazanzibari na zanzibar.

Sidhani kama ulimwelewa hoja aliyokuwa anaiongelea au na wewe ni walewale? Usikimbilie kutoa hukumu sikiliza na ujaribu kuelewa hoja aliyokuwa akiijenga. In fact, alichokisema Tundu Lissu ni kile Wanzanzibari hasa kwenye mdahalo uliofanyika Zanzibar mwezi mmoja hivi uliopita walichokisema pia. Wachangiaji wote waliochangia kwenye mdahalo huo walisema categorically: "Hatuukataki muungano. Kama mnataka muungano, kwanza Watanganyika watafute katiba yao kama ilivyo kwetu halafu ndipo waje tujadili muungano." Walisema pia: "Wanaohangaika na muungano wanahangaika bure, hatuutaki!" Je, kwa Wazanzibari hawa unasemaje?
 
Kama kuambiwa ukweli ni dharau basi tumekwisha. Nyie mna katiba yenu peke yenu, halafu mnataka kutunga katiba yetu, mkiambiwa ukweli mnasema dharau. Mbona wale wazee walioenda UN kudai nchi ya Zenji hamsemi ni dharau na kuhamasisha CUF iombe talaka kwa CCM?
 
Maneno makali ya dharau yaliyotolewa na mb tundu Lissu jana kwa kweli yaliwafadhaisha wabunge wa chadema viti maalum Mh Raya hamisi na mwenzie kwa kweli niliwaona wameinamisha vichwa vyao chini wakijutia maamuzi ya wao kujiunga na chama hicho, maana hii imekuwa ni kawaida kwa Mh Lissu na wabunge wengine wa chadema kutoka bara kuwadharau wazanzibar na zanzibar, imekuwa ni majuto kwa wabunge hawa, nawashauri kuachia nafasi zao za ubunge na uanachama ili kulinda heshima ya wazanzibari na zanzibar.
Matusi aliyoyatoa tundu lisu unaweza kuyaorodhesha hapa wote tukayapima kama ni matusi au la? Au pengine kama una matatizo ya kuwashwa masaburi unahitaji msaada wa ku-cameruniwa ni bora ukawa wazi ili upate msaada stahki.
 
ccm tusomeni alama za nyakati, muda ukifika hatuwezi kugombana nao, hatuoni ufa tunasubiri kuujenga ukuta, unaweza kugoma kuelewa ukweli utadhihirika mbele yako. Kama huamini nenda IMTU kamuulize Prof. F.F.T
 
Back
Top Bottom