ccm walisema mengi kuhusu chadema. mengi yaliyosemwa ni uongo mtupu. leo imedhihirika hata umbeya wa wenyewe kwa wenyewe, wanasemana vibaya. kwani sumaye kukopa tatizo ni nini? utafanyeje biashara bila kulipa? hayo mashamba amemnyanganya nani akalalamika? umbeya wameuhamisha kutoka chadema kwenda ndani ya chama. tatizo naona ni mwenyekiti wao kuwa mswahili na walio chini yake wamekuwa waswahili. wakati wa mkapa sikuona wana ccm wakilumbana.