Njanga Tz
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 843
- 655
Freeman Mbowe kakiuza chama kwa Lowasa, Alitaka kuuza na UKAWA......
Nimaneno aliyoyasema Nape pale ofisi ndogo akicheka na kutabasamu kwa bashasha. Hivi anaweza kutuonesha risiti ya hayo mauziano au atuambie hzo pesa walideposit bank ip basi atuoneshe ata payslip.
Zama hizi sio kama zile wananchi hawadanganyiki kwa maneno matupu inabidi uje na ushahidi wa kutosha CCM ni taasisi kubwa huwezi ukaongea vitu bila kuwa na evidence wananchi wakajua hayo manunuzi ya Lowasa yalifanyikaje, wapi, lini na hizo pesa ni kiasi gani. Lasivyo ni kuidharirisha CCm yetu nakuonekana waropokaji kwa propaganda za kitoto kama hizi.
Uku mtaani mnatupa shida sana kwa kufanya propaganda za kitoto kama hzo ambazo hazina mashiko.
Sasa ni wakati wakuja na mbinu mpya na nzuri za wakuwafanya wananchi wasisimuke sio kwa utoto huo.
# CCM chama changu Lowasa raisi wangu.
Nimaneno aliyoyasema Nape pale ofisi ndogo akicheka na kutabasamu kwa bashasha. Hivi anaweza kutuonesha risiti ya hayo mauziano au atuambie hzo pesa walideposit bank ip basi atuoneshe ata payslip.
Zama hizi sio kama zile wananchi hawadanganyiki kwa maneno matupu inabidi uje na ushahidi wa kutosha CCM ni taasisi kubwa huwezi ukaongea vitu bila kuwa na evidence wananchi wakajua hayo manunuzi ya Lowasa yalifanyikaje, wapi, lini na hizo pesa ni kiasi gani. Lasivyo ni kuidharirisha CCm yetu nakuonekana waropokaji kwa propaganda za kitoto kama hizi.
Uku mtaani mnatupa shida sana kwa kufanya propaganda za kitoto kama hzo ambazo hazina mashiko.
Sasa ni wakati wakuja na mbinu mpya na nzuri za wakuwafanya wananchi wasisimuke sio kwa utoto huo.
# CCM chama changu Lowasa raisi wangu.