CCM chama changu Lowassa raisi wangu

CCM chama changu Lowassa raisi wangu

NAPE kaua CCM....

Mwenyekiti angemtoa mapema sana huyu...


Na ana LUGHA NYINGI ZA DHARAU NA MATUSI YA REJA REJA...!!! eg OIL CHAFU, KUWATISHIA wazee eg KINGUNGE, kumtukana Lowassa...etc

Nape ni muongo hatujapata kuona...!!! eg ya kuhusu Laptops za Magufuli eti hakusema kitu kama hicho...etc...!!!

Nape kakiua CCM sana sanaaa...

UKAWA wamshukuru kwa hilo, sbb NAPE KAISAIDIA PIA UKAWA KUWA NA WAPENZI WENGI... kwa maneno na matusi yake kwa wananchi na hata watu wazito ndani ya CCM...!!

Leo Mamilioni wanahama CCM, sbb maneno ya Nape yanaharibu mnoo....!!!
 
cyber crime law itaanza na wengi mmojawapo huyu Nape anapenda sana kuzusha na vijembe vyake asipoenda segerea mhh
 
kweli wakuu,mm ni cdm damu bt nilikua njia panda kama lowasa angepitishwa na ccm,kama zali vile kanifuata!


Haaaaahaaaaa.....😂😂😂😂😂✌✌✌👏👏👏👏👏👏👏👏💏💏💏💏

Yaani ni mpango wa Mungu kwa kweli

Maana, ni kama una sukari + Asali...utamu juu ya utamuuuuu...

Maana Lowassa + UKAWA...ni sawa na U.S.A + China... nguvu zake za DUNIA nzima inatikisika...!!!

Yaani watu wanampenda Lowassa, Ukawa hadi wanaumwa.....!!!

Kuna watu tunafurahaaaaaaaaaaaaa kama tuko pepoooooniiiiiiii.....!!!!

Yaani Lowassa anapendwa, alafu kalenga MULE MULEEEEEE UKAWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.

......see video ucheke hadi ulie kwa kufurahiiiiiiiiii....maana vilio vya furahaaaaa sio mchezoooo....!!😂😂😂😂
 
Hana tofauti na waziri wa habari wa iraq kipindi inapigwa na jeshi la wamarekani mwaka 2003..kazi yake kubwa ilikuwa ni kuupotosha umma kuwa jeshi lao halikutetereka huku ukweli wairaq walichapika vibaya mno..
 
Back
Top Bottom