CCM chama bora cha siasa duniani

Umelogwa wewe sio bure!!!
 
Chama cha Mazombi,
Elimu duni kwa watanzania ndio mtaji namba moja kwa ccm kuendelea kuwepo madarakani
 
NONSENSE
 
Lumumba FC wameamshana usiku kuja kutetea upumbavu wao.

Ukweli ni CCM ya sasa ni chama cha wauwaji na watekaji wa raia wasio na hatia wa nchi hii.

CCM ni chama kinachohatarisha amani ya nchi

Licha ya kuwepo madaraki kwa zaid ya miaka 50, CCM ni chama pekee kulichoshindwa kujibu hoja za wapinzani hadi kufikia kutumia Jeshi la polisi na jeshi la wananchi .

CCM ina laana
 
Endeleeni tu kukumbatia maumivu yasiyokua na faida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…