CCM chama bora cha siasa duniani

2. Demokrasia iliyotukuka

kwa kuwapiga na kuuwa wapinzani katika uchaguzi mdogo wa siha na kinondoni..nakumbuka tulimpoteza akwilina


3. Kuwa Karibu sana na Wananchi hasa Maskini.

hakika kwa kuwaambia ndugu zetu wa BUKOBA KUWA SERIKALI HAINA SHAMBA..na kuwaambia kuwa wanapenda sana KATERERO

4. Sera imara zenye kutetea Wanyonge

kwa kuwabomolea ndugu zetu wa kimara huku kukiwa na stop order ya mahakama




7. Kusimamia Amani, Umoja na Mshikamano Ipsavyo.

amani ya kuokota miili ya watu kwenye sandarusi pamoja na vifo kama vya kina sogota..usisahau kutekwa kwa watu kama roma na beni saanane na shambulio la tundu lisu


Asante sana sisiemu
 

Kumbe wewe ndo umekitaja na hizi ni points zako ndomana umesahau nyingine,basi CCM wenzio watakusaidia.
 
Chama cha wasiojulikana, wenye roho mbaya, uwongo na wapenda sifa.

Tuachieni uhuru wa sanduku la kura ihesabiwe kihalali muone kama mtakaa mkisikie katika ramani ya Dunia hata huko mbinguni mnakosema mtaenda kusimamia.
 
CCM ni Mdubwana mbaya kuliko kansa, ni muda wa vyama kuungana kwa ngu
 
Hakuna chama kinachoamini kupingana kwa hoja ni uadui kikawa chama bora kamwe

Lissu leo anauguza majeraha ya risasi sababu ya ccm kuwajengea wafuasi wake kuwa kupingana na rais wa nchi kimtazamo ni uasi

Watu wanauawa kikatili na vyombo vya dola (polisi) sababu ya ccm kuwaelekeza wafanye watakavyo na wataungwa mkono na rais

Ccm ni moja ya vyama vya siasa katili kabisa duniani kisichoamini kutofautiana kwa fikra, ccm haina tofauti na magenge ya kiharifu dhidi ya binadamu
 

Chama Cha Mapinduzi Kimetajwa kuwa miongozi mwavyama Bora vya Siasa Duniani ukiondoka Chama Tawala China. Sababu ya Chama hicho kutajwa kuwa Chama bora ni pamoja na: Atutajie chama pinzani nchini China ili alinganishe na hicho cha kikomnist.
Ukombozi wa Afrika haukupiganiwa na CCM bali TANU ambayo waasisi wake wengine wamefariki hawapo tena CCM baada ya kuone ndivyo sivyo. Asilinganishe Tanu na CCM havina chochote vinachofanana kwa sasa.
 

Ndivyo ulivyotumwa na Lumumba? Wamekulipa buku ngapi maana wana trillion 1.5 !!!
 
Chama cha mafisadi, kuanzia mwenyekiti mpaka mwanachama wa kawaida wote ni wezi wa mali za umma.
 
Mimba changa, ikikomaa utajua hawa ni wezi sugu
 
Sawa....ni chama bora Hadi ahera

Ova
 
Sawa sasa kwanin % ya mafukara kwa hio miaka 50 inazidi tuu hivi ni kweli mnajali hali za hivyo vijiji ambapo mna matawi kila kona, je ratio ya daktari mmoja kwa kijiji na wananchi wa kuhudumiwa ikoje, je ratio ya mAji safi ikoje, je mkulima kwa hii miaka 50 vipi tunampango gani nae
 
Wewe nawe, kwa hiyo unataka utufanye sisi kama Libya Eenh!! Acheni kushabikia mambo yasiyo na Tija kwako na Kwa Taifa let la Tanzania. Wewe unadhani akiingia Chadema au upinzani mwingine nchi itabadilika kama unavyodhani? Watanzania sisi sio manyumbu nchi tumkabidhi FISADI kama mnavyotaka. Tumeridhishwa na utendaji wa CCM.
Mjinyonge mnywe šumu tutaongoza Taifa hili kwa Miongo mingi sana.
Endelea kuzungusha mikono hewani. Kuja kutahamaki nchi ina wenyewe Bwana.
 
chama bora cha siasa kinachotegemea polisi ili kushindana na washindani wake... kama kweli ni chama bora na kina kubalika tuleteni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi jamani tuone namna chama chetu kinavyokubalika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…