Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,387
Ccm haikubaliki tena popote nchi hii, kinachoibeba ccm kwa sasa ni jeshi la polisi na tume ya uchaguziHuwa nikisoma post zenu mnavyotiana mioyo huwa nacheka kimoyo moyo. Ni kama mitoto inagawana magari barabarani hili langu lile langu.
Hivi kwa akili yenu mnadhani JPM ndio mwepesi kushinda JK mliyemwita dhaifu? Anyway subirini 2020 october tuombe uzima wangu, wenu na wa JPM ndio mtajua ikiwa ni kweli Wasukuma wamemshtukia jamaa yao au Geita kwake ndio hawamataki...
Yote kheriKwenye wizi wa kura?
Hili nalo halitawasaidia sana.Ccm haikubaliki tena popote nchi hii, kinachoibeba ccm kwa sasa ni jeshi la polisi na tume ya uchaguzi
Ccm haiko madarakani kwa nguvu ya wananchi
Wananchi walishaikataa ccm kitambo sana
Kushinda kwa ccm hakutegemei kukubalika kwa wananchi, bali inategemea kupora ushindi kwa kutumia vyombo vya dola
Kumbe hali halisi ndio hii? Jana Geita Bawacha wakazuiwa kufanya sherehe ya siku yq wanawake na kulazimishwa kujiunga na wafanyayo ccm.
Picha halisi hapo juu inaonyesha wamama wa Chadema wanafuraha na maisha ndani ya chama chao kuliko wa ccm ambao ni kama vile wamemula kiporo cha baridi na kulazimishwa kuvaa manguo kijani na kuja kuiimbia ccm.
Sasa hiyo ndio picha kamili ya nguvu ya upinzani huko chini kama hiari INA achwa ichukue nafasi. Kumbukeni Geita ni nyumbani kwao nani.
Tukutane 2020 tukisha shinda kesi ya Wangwe ya kuwatema Wwkurugenzi kutumikia NEC
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hali halisi ndio hii? Jana Geita Bawacha wakazuiwa kufanya sherehe ya siku yq wanawake na kulazimishwa kujiunga na wafanyayo ccm.
Picha halisi hapo juu inaonyesha wamama wa Chadema wanafuraha na maisha ndani ya chama chao kuliko wa ccm ambao ni kama vile wamemula kiporo cha baridi na kulazimishwa kuvaa manguo kijani na kuja kuiimbia ccm.
Sasa hiyo ndio picha kamili ya nguvu ya upinzani huko chini kama hiari INA achwa ichukue nafasi. Kumbukeni Geita ni nyumbani kwao nani.
Tukutane 2020 tukisha shinda kesi ya Wangwe ya kuwatema Wwkurugenzi kutumikia NEC
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena hili la kuonea Upande Mmoja limezidisha Mshawasha wa Wananchi kukipenda chama cha Demokrasia na Maendeleo pamoja na Kumpiga risasi za Rasharasha Mhe LISSU..