Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,162
- 48,429
Niliangalia ile harambee yao na jinsi wanavyoendesha chama chao, nikajiuliza kama CCM bado kina sifa ya kuendelea kuitwa chama Cha kijamaa...
CCM bado ni chama cha wakulima na wafanyakazi ama ndiyo kimeshakuwa chama cha MABEPARI na wafanyabiashra?
Ubeberu umetamalaki CCM😄😆😀
CCM bado ni chama cha wakulima na wafanyakazi ama ndiyo kimeshakuwa chama cha MABEPARI na wafanyabiashra?
Ubeberu umetamalaki CCM😄😆😀