Wewe unafaa kupuuzwa na kila aliyezaliwa na mwanamke. Ushindwe na ulegee; ukabila ndo unaendekea mpaka sasa katika zama hizi. Badilika ndugu!
ninyi ndio maPUNGA kweli kweli...huyo riz 1 ndio mumeo aliekushikia akili kenge ww!
watu wanasherehekea ninyi ndio mna majonzi Kenge wakubwa tulieni mnyolewe magambaUkweli ni kuwa wananchi walio wengi kanda ya ziwa bado hawana imani na CCM na wana majonzi mazito kutokana na matumaini yao kufifia.
Nadhani ulikuwa unaandika kwa utani. Sitaki kuamini kuna watu wamejaa ukabila wa kiwango hiki kati yetu Tanzania. Na kama ndivyo, basi tuna tatizo kubwa la kujichukia wenyewe na kuendekeza ukabila, udini, rangi, umbo, na vyovyote. Hata wanyama wanatushinda, wanyama wana rangi na marakaraka kila aina lakini sijawahi kuwaona wakisema wewe wa Kaskazini, wewe kuku au mbuzi wa kusini. This is extremely too stupid if not silly. Samahani, nachukia sana ubaguzi.
Kwanza niwapongeze kwa ushindi mkubwa mlioupata kanda ya ziwa japo sehemu zingine mliupora kwa walioshinda.
Ukweli ni kuwa wananchi walio wengi kanda ya ziwa bado hawana imani na CCM na wana majonzi mazito kutokana na matumaini yao kufifia.
Ushauri wangu kwa CCM ni kuwa wasipojitahidi kurudisha imani kwa wanakanda ya ziwa 2020 hali yao itakuwa mbaya sana.
Tusubiri tuone.
safari hii ingekuwa maajabu ya 8 ya dunia
kabila kubwa kabisa limebarikiwa kumpata mgombea wa kabila lao halafu limkatae
eti likamchagukutoka Milama Meru au Kilimanjaro yaani ningewapuuza sana
HONGERENI WASUKUMA, WAHAYA, WAZINZA nk kwa kuwakataa Wachagga waachieni labda vibiashara lakini sio SIASA
ni uhakika Magufuli na CCM yake ni mpaka 2025, sasa hapo ndio tutaangalia km ni Mgogo au Mbena lkn Kaskazini wasubiri kauli ya Baba was Taifa na Ridhiwani hazijafutika
Alafu mnapowazungumzia kaskazini mnawasema sana Wachaga. Huo ni wivu wa kimaendeleo tu. Wachaga ndio kabila lililoendelea sana Tanzania, kibiashara hata kielimu. By the way mimi ni mmasai
Kwa hii kasi ya Magufuli naimani huko tuendako chadema watakuwa na hali ngumu sana kanda ya ziwa. Maana ata kura alizokosa ni zile za mashaka kwa chama chake ila sasa ni kama anaitakasa ccm na serikali. Ngoja tuone.
bora nyani.......akwaju chakula cha Nyani
Songea na Sumbawanga wanalia Viti maalumMara tumewapa Chaggadema wabunge 4 lakini Viti maalum hakuna hata mmoja mkoa mzima.Wachaggaaa..