Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 5,174
- 17,635
Nyie kuleni tu manyama ya makafara halafu baadaye ndio mtajua matokeo yake.Zoezi la uchukuaji wa Fomu wa nafasi ya Ubunge jimbo la Arusha Mjini kwa Mgombea wa Nafasi hiyo Mhe. Paul Makonda litaambatana na burudani kutoka katika vikundi mbali mbali vya Muziki lakini pia Ng'ombe zaidi ya 100 kwa ajili ya nyama choma kama anavyobainisha Katibu Mwenezi wa CCm Wilaya ya Arusha Mjini Anthony Maswi
Bado sherehe ya ushindi.Ni ushamba mkubwa kuchinja ng'ombe wote hao kusherehekea mtu kuchukua fomu.
Amandla...
KafaraZoezi la uchukuaji wa Fomu wa nafasi ya Ubunge jimbo la Arusha Mjini kwa Mgombea wa Nafasi hiyo Mhe. Paul Makonda litaambatana na burudani kutoka katika vikundi mbali mbali vya Muziki lakini pia Ng'ombe zaidi ya 100 kwa ajili ya nyama choma kama anavyobainisha Katibu Mwenezi wa CCm Wilaya ya Arusha Mjini Anthony Maswi
Kwamba hakuna Cha bureNyama za kafara
Hizo fedha atarejeshajeZoezi la uchukuaji wa Fomu wa nafasi ya Ubunge jimbo la Arusha Mjini kwa Mgombea wa Nafasi hiyo Mhe. Paul Makonda litaambatana na burudani kutoka katika vikundi mbali mbali vya Muziki lakini pia Ng'ombe zaidi ya 100 kwa ajili ya nyama choma kama anavyobainisha Katibu Mwenezi wa CCm Wilaya ya Arusha Mjini Anthony Maswi
Msiuze uhuru wenu kwa ajili ya uchu wa nyama. Grow up people......msiuze uhuru wenu.Zoezi la uchukuaji wa Fomu wa nafasi ya Ubunge jimbo la Arusha Mjini kwa Mgombea wa Nafasi hiyo Mhe. Paul Makonda litaambatana na burudani kutoka katika vikundi mbali mbali vya Muziki lakini pia Ng'ombe zaidi ya 100 kwa ajili ya nyama choma kama anavyobainisha Katibu Mwenezi wa CCm Wilaya ya Arusha Mjini Anthony Maswi