CCM Ardhini vs UKAWA Angani

CCM Ardhini vs UKAWA Angani

Nimempa credit kwa hilo....sababu akiwa njiani ameweza kuwapa hi watu wengi zaidi ambao hawakuweza kwenda kwenye mikutano yake rasmi....this is my next president!
 
Magufuli ana tumia gari ili azifahamu shida za wananchi ambazo alikuwa hazifahamu kwa kuwa alikuwa hana haja nao.

Lowassa ana tumia helkopta ili imuwaishe kwenda kupanga mipango ya kutatua matatizo ya wananchi kwa kuwa ana zifahamu kwa kuwa ni mtoto wa masikini.
Excellecy and brilliant argument! Thank you very much! Kampeni lengo lake ni moja tu: kueleza utawafanyia nini wapiga kura. Sio wakati wa kukagua matatizo ya wananchi na wala sio wakati wa kufanya usanii kuonyesha kuwa wewe unajua kuvumilia shida kumbe ni uongo
 
umasikin c sifa ndg,kutumia chopa kuna rahisisha kufika na pia kwan mikutano c inaandaliwa eneo ambapo ndo hufikia au.?!
 
Hoja za wakereketwa wa CCM ni dhaifu mno
 
Excellecy and brilliant argument! Thank you very much! Kampeni lengo lake ni moja tu: kueleza utawafanyia nini wapiga kura. Sio wakati wa kukagua matatizo ya wananchi na wala sio wakati wa kufanya usanii kuonyesha kuwa wewe unajua kuvumilia shida kumbe ni uongo

umesahau juzi kati alikuwa anaigiza kwa kula kwa mama ntilie na kupanda daladala ili ajue shida za wananchi wakati miaka yote hiyo alikuwa kiyoyozi
 
umesahau juzi kati alikuwa anaigiza kwa kula kwa mama ntilie na kupanda daladala ili ajue shida za wananchi wakati miaka yote hiyo alikuwa kiyoyozi
Umelenga penyewe Kiongozi.
 
Wewe Mr Chin aka Chintu mbona angalia afya yako kwanza - usije ukapata shinikizo la damu. Jijali kwanza kabla ya kumjali makomeo! Usije ukasema wandugu zangu waJF hawakukupa hadhari!!
 
Watanzania wenzangu wapenda manadiliko tufanye mambo mengine ya maendeleo binafsi, 25 October tukakamilishe tulichoamua
Kuna watu wameajiriwa humu karibuni na wako 24hrs humu kuanzisha nyuzi zisizokuwa na kichwa wala shingo.
Hawa kina Chin and co Humu ni ofisini kwao
 
mbona jana wamesema naye magufuli atatumia helicopter kuanzia leo au????
 
umesahau juzi kati alikuwa anaigiza kwa kula kwa mama ntilie na kupanda daladala ili ajue shida za wananchi wakati miaka yote hiyo alikuwa kiyoyozi

Ile ilikuwa ni kampeni na sio kuangalia shida. Shida anazijua na ana suluhisho lake tayari
 
Back
Top Bottom