Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 404
................... Labda wampe maswali ahead of time lakini ...............
....
Kama hawezi kuelezea analotaka kuifanyia nchi hii je atafanya nini akichaguliwa? Natamani sana CCM ifutike kama ambavyo UNIP na KANU zilivyofutika baada ya kulewa madaraka.
Marais wote wa Marekani hufanya midahalo ipatayo mitatu au zaidi kabla ya uchaguzi; iweje rais wa Tanzania asiweze kufanya mdahalo kabla ya uchaguzi. ??
NN, umenikumbusha last time alipokuwa akihojiwa na Tido Mhando (puppet) pale TBC. Inaelekea yeye mwenyewe ndiye aliyeandaa maswali halafu akaanda na majibu yaliyochapishwa kwenye karatasi. maswali akampa Tido ili (Tido) amuulize JK. wakati wa kujibu akawa anasoma kwenye karatasi lake!!!! halafu waliandaliwa watu mikoani waliouliza maswali yenye majibu tayari. Wenye maswali yanayoeleweka walipokuwa wakipiga simu zilizotolewa na TBC ama line zilikuwa hazipatikani ama swali lako linasikilizwa kwanza na wapambe halafu simu inakatikika haipatikani tena mpaka kipindi kikaisha!!!
MWEZI OCTOBER NI MWEZI AMBAO MBIVU NA MBICHI ZITAJULIKANA........WAFUASI WA VYAMA MBALIMBALI KADRI WALIVYOJIANDAA WASITAFUTE VISINGIZIO PINDI MATOKEO YATAKAPOTANGAZWA............sababu za wizi wa kura,masanduku kuchelewa kufika,kura kuharibika n.k zitakuwa zimepita KAMA MMEJIANDAA VYEMA NAJUA MMETAFUTA MBINU ZA KUDHIBITI YOTE HAYO..........TUTAKUJA NA SABABU GANI TENA? PINDI MATOKEO YATANGAZWAPO?
hahahaha!! gud answer! au katiba ni utamaduni wa wazaramo? atuambie!!Mbona tumeiga kupiga kura?...niambie hii ni mila ya kabila gani kati ya 120 tulonayo?.......hata hicho cheo cha urais ni cha kabila gani?(neno lenyewe la kiarabu)
NN, umenikumbusha last time alipokuwa akihojiwa na Tido Mhando (puppet) pale TBC. Inaelekea yeye mwenyewe ndiye aliyeandaa maswali halafu akaanda na majibu yaliyochapishwa kwenye karatasi. maswali akampa Tido ili (Tido) amuulize JK. wakati wa kujibu akawa anasoma kwenye karatasi lake!!!! halafu waliandaliwa watu mikoani waliouliza maswali yenye majibu tayari. Wenye maswali yanayoeleweka walipokuwa wakipiga simu zilizotolewa na TBC ama line zilikuwa hazipatikani ama swali lako linasikilizwa kwanza na wapambe halafu simu inakatikika haipatikani tena mpaka kipindi kikaisha!!!
Kama unakumbuka mwaka jana au mwaka juzi mwishoni kwenye ule mkutano wa TED uliofanyikia Arusha. Jamaa alishiriki majadiliano yaliyokuwa moderated na Isha Sessay....yaani alikuwa anahangaika kutafuta cha kujibu hadi nikamwonea huruma.
.
Kazi kweli kweli, cha zaidi ni pale CCM wanapoona baadhi ya wakongwe kama Shibuda kutishia kuhamia upinzani na jana wanachama kama 70 wamerudisha kadi za CCM na kujiunga na upinzani, kingine ni pale TUCTA walipokaa na kusema watatoa tamko kuwa ni rais gani wamchague mwaka huu, "POOR CCM NA SHAME ON YOU" Wametunyanyasa, wemetutesa na kutudhalililisha vya kutosha na sasa saa ya ukombozi imefika na na CHADEMA ndio mkombozi wetu, kilikuwepo KANU je mbona kiling'oka? na hao tume ya uchaguzi wakiwasikiliza CCM na kumzuia Slaa kugombea uraisi tutaanzisha maandamano ya amani kuhamasisha wananchi kugoma kupiga kura hapo Oktoba. CCM ACHENI UOGA. "PIGANENI KWA SERA SIO KWA SARE"