Umenipoteza hapo kwenye nyekunduMkuu hata kama ni usanii tusingefikia hatua ya kura rambirambi
Unapoongelea demokrasia ya Tanzania unafananisha na nchi gani? Haya mambo ya kukariri tu na kutulazimisha wote Watanzania tufuate unayosema hapa ndio uzandiki wenyewe huo. Unaongelea wakati tupo chama kimoja then unaongelea wakati wa vyama vingi, Je, ulitaka madeni yasilipwe? Naona unaruka ruka tu, be specific bila kumung'unya maneno ndio JF where we dare to talk openly.Nikiyaangalia matukio yaliyotokea hivi karibuni na kukumbuka yale yaliyowahi kutokea hapa nchini mwetu kwa upande wa Siasa, nimefikia hitimisho kwamba ili nchi hii isonge mbele ni lazima CCM iache fikra na matendo ya kuhodhi nchi yetu ya Tanzania kama ni mali yao peke yao.
Wenye nchi yao si wameridhia kukabidhiwa kwa Bikira Maria?Mimi na mawazo tofauti, ni bora kwa CCM iendelee kuihodhi Tanzania inavyotaka kuliko kumkabidhi Bikira Maria kuwa Msimamizi wa Jamhuri ya Muungano wa,Tanzania. Nchi itaingia nuksi, kunakamizwa, kugharikishwa na kuangamizwa
Sijui kama umemuelewa mleta post. Hivi kweli ww unafurahia CCM kunyang'anya mali (vikiwemo viwanja vya michezo, majengo ya ofisi vijijini) za wananchi na kuzigeuza mali yake?Unapoongelea demokrasia ya Tanzania unafananisha na nchi gani? Haya mambo ya kukariri tu na kutulazimisha wote Watanzania tufuate unayosema hapa ndio uzandiki wenyewe huo. Unaongelea wakati tupo chama kimoja then unaongelea wakati wa vyama vingi, Je, ulitaka madeni yasilipwe? Naona unaruka ruka tu, be specific bila kumung'unya maneno ndio JF where we dare to talk openly.
Ukiniambia tufuate policy za Chadema sitakubaliana na wewe kwa sababu ni sera za kikabila na ukanda zaidi, huwezi kunishawishi leo hii kuuziwa mbuzi kwenye gunia then unasema ndio Watanzania wengi wanazipenda are you serious? BTW Chama kinachotawala ndio kina kinga maslahi ya nchi wakati kikiwa madarakani na kina kura ya turufu. Niambie nchi gani haifanyi hivyo hapa ulimwenguni labda kama unaongelea Mars!
Umeishiwa hoja unapayuka payuka ovyo ovyo kama mtu aliye kunywa mbege na viroba.Nikiyaangalia matukio yaliyotokea hivi karibuni na kukumbuka yale yaliyowahi kutokea hapa nchini mwetu kwa upande wa Siasa, nimefikia hitimisho kwamba ili nchi hii isonge mbele ni lazima CCM iache fikra na matendo ya kuhodhi nchi yetu ya Tanzania kama ni mali yao peke yao.
Mliwasingizia wenzenu kwa ukanda sasa nyie ndiyo mnafanya kwa vitendo!!Umeishiwa hoja unapayuka payuka ovyo ovyo kama mtu aliye kunywa mbege na viroba.
Hivi unavyofanya chaggae development manifesto huoni hata aibu. Hivi unadhani hatuwaoni? Mipango yenu ipo uchi. Jitathimini mrudi kwenyekundi muache kujitenga kama manifesto yenu.
Wewe huoni hata aibu!? Vitamburisho vyote ukonavyo. Manifesto yenu ilibuma na hamuwezi tena hiyo ndiyo nitolee. Mlijitahidi kuwateka vijana wengi lakini kwa sasa wamestuka. Acheni kuendesha chama kwa kufuata manifesto yenu. Mpo uchi tunawaona.Mliwasingizia wenzenu kwa ukanda sasa nyie ndiyo mnafanya kwa vitendo!!
Wote uliyowataja waliuwawa Chadema Safari hii mkimua Ben mnajifanya Ccm Ndiyo wameuwa tunakula nanyi sahani mojaAliuawa Dr. Sengondo Mvungi,aliuawa Daudi Mwangosi alijeruhiwa Dr. Steven Ulimboka na hata Ben saanane hajulikani alipo ni kawaida na wala roho haziwastuki kwa kuwa si wana CCM wenzenu.
Wenye nchi yao si wameridhia kukabidhiwa kwa Bikira Maria?
Sielewi? Kwa hivo bikira Maria ndiyo head of state?Wenye nchi yao si wameridhia kukabidhiwa kwa Bikira Maria?
Bavicha bana mna shida kubwa kwa kweli. Waliohusika na mauaji ya Dr. Mvungi walikamatwa. Aliyemuua Mwamgosi alishahukumiwa, Ulimboka waliomjeruhi hawajakamatwa na huyo kijana wenu mnajua alikoAliuawa Dr. Sengondo Mvungi,aliuawa Daudi Mwangosi alijeruhiwa Dr. Steven Ulimboka na hata Ben saanane hajulikani alipo ni kawaida na wala roho haziwastuki kwa kuwa si wana CCM wenzenu.
Kwan chama gan kilichopo sasa kilipigania uhuru wa nchi hiiHivi Chadema walipigania Uhuru wa nchi hii
Ccm pekeeKwan chama gan kilichopo sasa kilipigania uhuru wa nchi hii
Huwa sijadili pumba kama hizi grow up and move on!Sijui kama umemuelewa mleta post. Hivi kweli ww unafurahia CCM kunyang'anya mali (vikiwemo viwanja vya michezo, majengo ya ofisi vijijini) za wananchi na kuzigeuza mali yake?