Ccm@50

maamuzi ya busara yanahitajika sana mwaka huu kiroho safi
 
Duh!!...utani wako na maCCM unakaribia kuvuka mipaka mkuu!!!
 
Mbona Balaaaa?? Huko ndo ku Gofulika!!!!!!!
Basi jamani, kama Ikulu inamwaga radhi kiasi hiki naona taifa li mashakani


Limashakani tena sana mkuu unadhani kidogo kiongozi.

Ni hatari sana.
 


Acha tu mkuu.

Ni hatari sana kiongozi hasa kwa afya ya ubongo na akili kwa jumla juu ya watoto wetu wanaotazama picha hizi kiakili ni lazma waathirike kwa namna moja ama nyingine.

Hatari sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…