Naomben kujua juu ya combination ya CBG ktk shule ya sekondari Milambo tabora vp wanafaulu? pia kna walimu? kwani nahtaj kumuhamisha mwanaf kutoka Nyakato Kagera,msaada jaman ndg wana jf.
m nmesma milambo pcm ile shule n open university iko pale tbr mjin waalim wapo weng tu halaf kuna uhuru wa kutoka nje ya shule so 2likua tunaenda kupga mapind nje kama kawaida anakarbishwa milambo men high school
m nmesma milambo pcm ile shule n open university iko pale tbr mjin waalim wapo weng tu halaf kuna uhuru wa kutoka nje ya shule so 2likua tunaenda kupga mapind nje kama kawaida anakarbishwa milambo men high school
Hahahahahah kweli bhana mimi pia nilisole nikapiga div 11 ya 10 miaka kadhaa iliyopita tulikuwa tunapiga pindi za kufa mtu pale opposit na uhazili,shule ya Kanyeye na maeneo kibao tu ikiwemo Boyz hahahah...Pia wali wa 200/= pale kwa Mama Mada ulikuwa haukauki yaani usiposhiba msosi wa Mzee Msengi unawahi Fasta kwa Mamam Nyari hahahah