Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Cause list report kutoka mahakama ya Hakimu mkazi ya Dar es salaam at Kisutu, inaonesha kesi ya Jamhuri dhidi ya Tundu Antiphas Lissu itatajwa tena siku ya Alhamis tarehe 30 July, 2020.
Cause list report inaonesha kesi namba 123 ya 2017 inayomkabili Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu itatajwa mbele ya Hakimu Mkazi Msomi, Mheshimiwa sana Enock Matembele Kassian, SRM siku ya Alhamis kama inavyoonekana hapa chini.
Cause list report inaonesha kesi namba 123 ya 2017 inayomkabili Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu itatajwa mbele ya Hakimu Mkazi Msomi, Mheshimiwa sana Enock Matembele Kassian, SRM siku ya Alhamis kama inavyoonekana hapa chini.