kirchoffs
Member
- Sep 12, 2016
- 18
- 6
Wapendwa;
Nawasalimu nyote ::
Lengo la kuanzisha Uzi huu ni "Kutaka kufahamiana na kupeana taarifa mbali mbali kwa wanafunz waliochaguliwa chuo kikuu cha bugando 2016/2017
Nimeona ni jambo jema tukaanza urafiki mapema kabla hatujafika rasm chuon tr1&2 ili kuweza kuleta ukaribu wa kuzoeana ; kushirikiana , kuhudumiana ; na kusaidiana katika majukum tunayotazamia kuyakabili!!
SASA
kuna kundi moja limeanzishwa kwa wale wa
@ medical doctor
@ bachelor of medical lab science
@ Nursing
Hili ni kwa wale wa bugando tu
Kwahiyo
Kama ungependa kufahamian na wenzio andika namba yako ya whatsapp nami nitakuunganisha moja kwa moja
Naamin kuwa kama tangazo hili halikuhusu huto comment chochote kibaya
Mungu akubariki !!!!!
NAWASILISHA
Nawasalimu nyote ::
Lengo la kuanzisha Uzi huu ni "Kutaka kufahamiana na kupeana taarifa mbali mbali kwa wanafunz waliochaguliwa chuo kikuu cha bugando 2016/2017
Nimeona ni jambo jema tukaanza urafiki mapema kabla hatujafika rasm chuon tr1&2 ili kuweza kuleta ukaribu wa kuzoeana ; kushirikiana , kuhudumiana ; na kusaidiana katika majukum tunayotazamia kuyakabili!!
SASA
kuna kundi moja limeanzishwa kwa wale wa
@ medical doctor
@ bachelor of medical lab science
@ Nursing
Hili ni kwa wale wa bugando tu
Kwahiyo
Kama ungependa kufahamian na wenzio andika namba yako ya whatsapp nami nitakuunganisha moja kwa moja
Naamin kuwa kama tangazo hili halikuhusu huto comment chochote kibaya
Mungu akubariki !!!!!
NAWASILISHA