Catherine Magige agawa sare 1,300 kwa wajumbe wa UWT Arusha

Catherine Magige agawa sare 1,300 kwa wajumbe wa UWT Arusha

Nipe Maji

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2025
Posts
335
Reaction score
190
Mbunge wa Viti Maalum kupitia Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Catherine Magige, amechangia sare 1,300 zenye thamani ya shilingi milioni 35.1 kwa wajumbe wa Baraza la UWT Mkoa wa Arusha.

Magige alikabidhi sare hizo mbele ya wajumbe wa baraza hilo lililofanyika mkoani Arusha, wakati akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli zake kwa kipindi cha miaka mitano akiwa mjumbe wa Baraza la UWT mkoani humo.

Magige alisema mchango huo ni sehemu ya dhamira yake ya kuendelea kuwaunga mkono wanawake na kuimarisha mshikamano ndani ya jumuiya hiyo muhimu ya chama. Alieleza kuwa sare hizo zitasaidia kuongeza morali na mshikamano miongoni mwa wajumbe, hasa katika shughuli mbalimbali za kisiasa na kijamii.

Wajumbe walioshiriki Baraza hilo walipokea kwa furaha mchango huo, wakimpongeza Magige kwa moyo wa kujitoa na mchango wake mkubwa katika maendeleo ya jumuiya hiyo kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita.

snapins-ai_3648021546733695264.jpg
snapins-ai_3648021546733844342.jpg
snapins-ai_3648021546733792336.jpg
 
Yes, Mtaji wa CCM ni umasikimi, hapo huwezi kuta middle class wakiwa wamepanga foleni kugawaiwa sale, Umasikini ni industry ya CVM
 
Wamama wakristo ni wajinga wa kujitakia..unapewa nguo ina picha ya mtu bila kujua ina lengo gani na imetamkiwa nini kwa anayeitumia..sababu hupewi bure, hao wanaokupa lazima kuna kitu wameweka kwenye hiyo nguo usichokiona ili kufikia malengo yao.
 
Mbunge wa Viti Maalum kupitia Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Catherine Magige, amechangia sare 1,300 zenye thamani ya shilingi milioni 35.1 kwa wajumbe wa Baraza la UWT Mkoa wa Arusha.

Magige alikabidhi sare hizo mbele ya wajumbe wa baraza hilo lililofanyika mkoani Arusha, wakati akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli zake kwa kipindi cha miaka mitano akiwa mjumbe wa Baraza la UWT mkoani humo.

Magige alisema mchango huo ni sehemu ya dhamira yake ya kuendelea kuwaunga mkono wanawake na kuimarisha mshikamano ndani ya jumuiya hiyo muhimu ya chama. Alieleza kuwa sare hizo zitasaidia kuongeza morali na mshikamano miongoni mwa wajumbe, hasa katika shughuli mbalimbali za kisiasa na kijamii.

Wajumbe walioshiriki Baraza hilo walipokea kwa furaha mchango huo, wakimpongeza Magige kwa moyo wa kujitoa na mchango wake mkubwa katika maendeleo ya jumuiya hiyo kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita.

View attachment 3356799View attachment 3356800View attachment 3356801
Waume zao wameshindwa kuwanunulia kanga na vitenge? Jumuiya inadumazwa kila siku mbunge ndo huyohuyo. Mnaua jumuiya za chama wenyewe
 
Wamama wakristo ni wajinga wa kujitakia..unapewa nguo ina picha ya mtu bila kujua ina lengo gani na imetamkiwa nini kwa anayeitumia..sababu hupewi bure, hao wanaokupa lazima kuna kitu wameweka kwenye hiyo nguo usichokiona ili kufikia malengo yao.
Ilikuwaje ukaandika hivi mkuu?

Kupitia hiyo habari umegunduaje kwamba hao ni wamama wa kikristo?
 
Ilikuwaje ukaandika hivi mkuu?

Kupitia hiyo habari umegunduaje kwamba hao ni wamama wa kikristo?
..can see them na wasifu wa anayewapa hizo nguo unadhihirisha wengi ni wamama wakristo.
 
Mbunge wa Viti Maalum kupitia Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Catherine Magige, amechangia sare 1,300 zenye thamani ya shilingi milioni 35.1 kwa wajumbe wa Baraza la UWT Mkoa wa Arusha.
Watazivaa kwa miaka 5
 
Mbunge wa Viti Maalum kupitia Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Catherine Magige, amechangia sare 1,300 zenye thamani ya shilingi milioni 35.1 kwa wajumbe wa Baraza la UWT Mkoa wa Arusha.

Magige alikabidhi sare hizo mbele ya wajumbe wa baraza hilo lililofanyika mkoani Arusha, wakati akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli zake kwa kipindi cha miaka mitano akiwa mjumbe wa Baraza la UWT mkoani humo.

Magige alisema mchango huo ni sehemu ya dhamira yake ya kuendelea kuwaunga mkono wanawake na kuimarisha mshikamano ndani ya jumuiya hiyo muhimu ya chama. Alieleza kuwa sare hizo zitasaidia kuongeza morali na mshikamano miongoni mwa wajumbe, hasa katika shughuli mbalimbali za kisiasa na kijamii.

Wajumbe walioshiriki Baraza hilo walipokea kwa furaha mchango huo, wakimpongeza Magige kwa moyo wa kujitoa na mchango wake mkubwa katika maendeleo ya jumuiya hiyo kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita.

View attachment 3356799View attachment 3356800View attachment 3356801
Ukisikia vitu maalum, mmoja wao ndiyo huyu. Miaka nenda yeye ni mbunge wa vitu maalum. Na hajawahi kukosa, wala kushindwa huo ubunge!
 
Ukisikia vitu maalum, mmoja wao ndiyo huyu. Miaka nenda yeye ni mbunge wa vitu maalum. Na hajawahi kukosa, wala kushindwa huo ubunge!
Ashakuwaga jirani .....ehh mara kawa mb tulibaki na bumbuwazi
😄 ndiyo vile vyeo vya ----

Ova
 
Nguo zitawasaidia nini
kuondokana na umasiki wao
 
Mbunge wa Viti Maalum kupitia Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Catherine Magige, amechangia sare 1,300 zenye thamani ya shilingi milioni 35.1 kwa wajumbe wa Baraza la UWT Mkoa wa Arusha.

Magige alikabidhi sare hizo mbele ya wajumbe wa baraza hilo lililofanyika mkoani Arusha, wakati akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli zake kwa kipindi cha miaka mitano akiwa mjumbe wa Baraza la UWT mkoani humo.

Magige alisema mchango huo ni sehemu ya dhamira yake ya kuendelea kuwaunga mkono wanawake na kuimarisha mshikamano ndani ya jumuiya hiyo muhimu ya chama. Alieleza kuwa sare hizo zitasaidia kuongeza morali na mshikamano miongoni mwa wajumbe, hasa katika shughuli mbalimbali za kisiasa na kijamii.

Wajumbe walioshiriki Baraza hilo walipokea kwa furaha mchango huo, wakimpongeza Magige kwa moyo wa kujitoa na mchango wake mkubwa katika maendeleo ya jumuiya hiyo kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita.

View attachment 3356799View attachment 3356800View attachment 3356801
Badala ya kugawa miradi,unagawa vitenge Karne ya 21?
 
Back
Top Bottom