loh, hayo mafuta sina hata ham nayo.
Mi nlikua nakunywa kwa sababu ya tatizo la kupata haja kubwa, yani hata ukifanikiwa kuyameza na ukawa hujatapika unastahiki pongezi, basi mimi yalinitapisha siku 1 nayaogopa mpk leo.
Zamani naskkia hata mama mwenye uchungu wa kujifungua anapewa then anaharisha wansema inasaidia mtt kutoka mara 1 tumbo linakua lishasafika.
Hata mbarika zzenyewe si mnajua km noma wakuu? Naskia zimekaa km njugu