Emmanuel ndonde
Member
- Mar 3, 2019
- 23
- 2
NISSAN X-TRAIL VS TOYOTA HARRIER
CAPACITY; harrier ina uzito mkubwa zaidi kwa kuwa na maximum weight ya 2700Kg lakini x-trail ina uzito wa 2170 Kg lakin x-trail ina nafasi kubwa ya kubeba mpaka uzito wa 1773Kg ambapo ni asilimia 11 zaidi ya harrier na ina roof kubwa kuliko harrier.
ENGINES; engine power ya harrier ni 183kw lakin x-trail ni 127kw kwahiyo harrier ina nguvu zaidi na kwenye kuspeed up inachukua sekunde 7.9 kuto 0-60mph na x-trail yenyewe ni sekunde 10.
UTUMIAJI WA MAFUTA;ulaji wa mafuta wa x-trail upo vizur ukilinganisha na harrier ambapo kwa mjini x-trail utumia chini ya asilimia 41 na chini ya asilimia 5 kwenye highway ya mafuta yanayotumika kwenye harrier.
Kwa ujumla ukitaka gari ambalo ni strong na lenye speed basi chagua harrier ila kama unataka linalokula mafuta kidogo na uwezo mkubwa kubeba mzigo x trail ni safi.
kwa hayo na mengine mengi ni KIMOMWE MOTORS (T) LTD MAGOMENI MAPIPA, WAAGIZAJI MAGARI KUTOKA JAPANI, DUBAI, SINGAPORE NA UK.
SIMU 0714349142 / 0762178477
CAPACITY; harrier ina uzito mkubwa zaidi kwa kuwa na maximum weight ya 2700Kg lakini x-trail ina uzito wa 2170 Kg lakin x-trail ina nafasi kubwa ya kubeba mpaka uzito wa 1773Kg ambapo ni asilimia 11 zaidi ya harrier na ina roof kubwa kuliko harrier.
ENGINES; engine power ya harrier ni 183kw lakin x-trail ni 127kw kwahiyo harrier ina nguvu zaidi na kwenye kuspeed up inachukua sekunde 7.9 kuto 0-60mph na x-trail yenyewe ni sekunde 10.
UTUMIAJI WA MAFUTA;ulaji wa mafuta wa x-trail upo vizur ukilinganisha na harrier ambapo kwa mjini x-trail utumia chini ya asilimia 41 na chini ya asilimia 5 kwenye highway ya mafuta yanayotumika kwenye harrier.
Kwa ujumla ukitaka gari ambalo ni strong na lenye speed basi chagua harrier ila kama unataka linalokula mafuta kidogo na uwezo mkubwa kubeba mzigo x trail ni safi.
kwa hayo na mengine mengi ni KIMOMWE MOTORS (T) LTD MAGOMENI MAPIPA, WAAGIZAJI MAGARI KUTOKA JAPANI, DUBAI, SINGAPORE NA UK.
SIMU 0714349142 / 0762178477