Carina bei cheap!!


Siku ingine unapotaka kununua gari hakikisha unapata full specfication za hiyo gari, ikiwezekana picha zake kama nyongeza. Then wafuate wataalamu wa magari wakupe faida na hasara ili uchukue maamuzi ya akili yako mwenyewe. Humu JF baadhi ya watu watakuchanganya hata wasio na utaalamu nao watakushauri ilmradi ameongeza count ya post zake kama JF member. They'r not serious the time u'r serious!
 

Hii nzuri saaaana
 
Chukua hiyo gari kama umeipenda carina si sio mbaya kama sikosei nadhani itakuwa cc1800 7A swala la spare usiogope zipo nyingi sana mtaa wa shauri moyo Engine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…