andycachy Member Joined Mar 31, 2010 Posts 83 Reaction score 18 Mar 14, 2016 #1 Naomba kuuliza hii tax exemption kama unaagiza gari kwa wafanyakazi wa serikali bado ipo? na kama ipo naomba utaratibu wake, Asanteni.
Naomba kuuliza hii tax exemption kama unaagiza gari kwa wafanyakazi wa serikali bado ipo? na kama ipo naomba utaratibu wake, Asanteni.
Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 38,558 Reaction score 48,901 Mar 14, 2016 #2 Kuna jamaa angu mmoja anajila la mwanzo kama la kwako ila la mwisho sasa alikua anatumia kachiwile
MKWEPA KODI JF-Expert Member Joined Nov 28, 2015 Posts 28,700 Reaction score 71,102 Mar 14, 2016 #3 TRA njooni huku kuna mteja wenu ana maswali
andycachy Member Joined Mar 31, 2010 Posts 83 Reaction score 18 Mar 14, 2016 Thread starter #4 stroke said: Kuna jamaa angu mmoja anajila la mwanzo kama la kwako ila la mwisho sasa alikua anatumia kachiwile Click to expand... hahahahahaha acha ufukunyuku jibu swali
stroke said: Kuna jamaa angu mmoja anajila la mwanzo kama la kwako ila la mwisho sasa alikua anatumia kachiwile Click to expand... hahahahahaha acha ufukunyuku jibu swali
Sibonike JF-Expert Member Joined Dec 23, 2010 Posts 17,297 Reaction score 18,046 Mar 14, 2016 #5 Bado ipo lakini tofauti na siku za nyuma haina maana. Tofauti ya kupata na kutopata ndogo sana
Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 38,558 Reaction score 48,901 Mar 14, 2016 #6 andycachy said: hahahahahaha acha ufukunyuku jibu swali Click to expand... Nitakutafuta mkuu, salama lakini...
andycachy said: hahahahahaha acha ufukunyuku jibu swali Click to expand... Nitakutafuta mkuu, salama lakini...
andycachy Member Joined Mar 31, 2010 Posts 83 Reaction score 18 Mar 14, 2016 Thread starter #7 Sibonike said: Bado ipo lakini tofauti na siku za nyuma haina maana. Tofauti ya kupata na kutopata ndogo sana Click to expand... asante kwa taarifa
Sibonike said: Bado ipo lakini tofauti na siku za nyuma haina maana. Tofauti ya kupata na kutopata ndogo sana Click to expand... asante kwa taarifa
andycachy Member Joined Mar 31, 2010 Posts 83 Reaction score 18 Mar 14, 2016 Thread starter #8 stroke said: Nitakutafuta mkuu, salama lakini... Click to expand... salama kamanda, karibu