Old pirate
Member
- Nov 20, 2018
- 28
- 24
Wakuu mm napenda kuuliza kwa hapa morogoro kama kuna mafundi wazuri wa kudesign muonekano wa ndani wa gari kwa bei reasonable hasa kwa kuzingatia hii hali ya sasa ya mzee magu
Pale nmeenda lkn kazi yao naona c nzuriPale walipochomoa Bateri