Spea siyo ishu mzee, hiyo ndo nzuri inakupa challenge kutafuta pesa kwa nguvu ili uweze kuiudumia.Gari nzuri ila ishu kwenye spea.
you are not serious.
eleza hapa hiyo gari ina matatizo gani kwanini inauzwa rahisi hivyo? na ni ya mwaka gani?
nuyou are not serious.
eleza hapa hiyo gari ina matatizo gani kwanini inauzwa rahisi hivyo? na ni ya mwaka gani?
Hii gari imekula sana puti, angalia mbele iko kama biskuti...bora uongezee hela kidogo uchukue gari ndogo na nzuri zaidi.
Daah, T 176 BWG, namba ya juzi tu sijui kwa nini jamaa anauza bei hiyo!
Hiyo gari haina puti, hii gari nilinunua kwa mtu zanzibar alikuwa hatumii kwa muda mrefu (sio kwamba ilikuwa mbovu, bali alikuwa na magari mengine), ilikuwa imepauka kwa sababu ya kupigwa jua; nikaamua kuipiga rangi.
Wabongo mnapenda kutapeliwa, bei ya kitu inategemea na wewe ulikipataje (gharama). Nimejaribu kuwa fair kutokana na hali ya uchumi kwa yule ambae hana gari na angetamani kuwa na kausafiri basi apate, kwa sasa imepark tu; hivyo ni bora nimpatie mhitaji. Asanteni kwa kunifungua kwamba bei ni ndogo, sasa nimeongeza, HIYO GARI INAUZWA TSH 5,555,555/=, hakuna mazungumzo.
hahaha....naona umeshtukiwa unasepa kiaina, hii ndiyo JF kaka, ulitaka kuwaingiza watu mkenge...lols
Hiyo gari haina puti, hii gari nilinunua kwa mtu zanzibar alikuwa hatumii kwa muda mrefu (sio kwamba ilikuwa mbovu, bali alikuwa na magari mengine), ilikuwa imepauka kwa sababu ya kupigwa jua; nikaamua kuipiga rangi.
gari nyingi zinazotoka zanzibar vimeo sana