King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,418
- 88,746
Wabongo mnapenda kutapeliwa, bei ya kitu inategemea na wewe ulikipataje (gharama). Nimejaribu kuwa fair kutokana na hali ya uchumi kwa yule ambae hana gari na angetamani kuwa na kausafiri basi apate, kwa sasa imepark tu; hivyo ni bora nimpatie mhitaji. Asanteni kwa kunifungua kwamba bei ni ndogo, sasa nimeongeza, HIYO GARI INAUZWA TSH 5,555,555/=, hakuna mazungumzo.
Wewe ni free manson or illuminat? Maana hizo 333 au 555 mmmhhhh usije ukawa 666