siku zote huwa nasema kuna watu unaweza kuwaona ukadhani ni binadamu,wengine wamebaki kuwa kama misukule inayotembea mfano wake ni yeriko nyerere,huwezi shangilia kifo cha binadamu mwenzako hata kama ulikuwa humpendi,ni afadhali kukaa kimyaa kuliko kuandika ujinga then unajiita msomi,taahira wa mwituni