CMSA invites you for interview 11.2.'15, from 8am law School of Tanzania near SIMU 2000 stand Ubungo. Procurement, Legal, Records & HR. Ref. Guardian 23.1.'15
kakwambia ref guardia ya 23.1.2015,af bado unauliza source??????Naomba source ya hi information.
kakwambia ref guardia ya 23.1.2015,af bado unauliza source??????
Naomba source ya hi information.
Hiyo ni sms nimetumiwa Leo na inaonekana imetumwa kwa wote ambao majina yapo kwenye gazeti la Guardian la tarehe hyo ila unaweza fuatilia hilo gazeti kama upo hz interview ambazo huwa znaonekana kama haziko serious hv watu hapa ndipo upata upenyo wa kutokea
CMSA invites you for interview 11.2.'15, from 8am law School of Tanzania near SIMU 2000 stand Ubungo. Procurement, Legal, Records & HR. Ref. Guardian 23.1.'15
Naomba source ya hi information.
gazeti ninalo planning officer mko zaidi ya 250
Asante sana, hapo nadhani nafasi zitakuwa chini ya 5 maana nimesahau wanahitaji watu wangapi. Thanks, nawatakieni kila laheri mtakaohudhuria tarehe 10, kutokana na gharama za maisha kwa mm niliyeko mkoani siwezi kufika kufanya written then nirudi tena for oral. All the best guys!!!!!!!!!!
naomba source ya hi information.
gazeti ninalo planning officer mko zaidi ya 250
Habari, naomba msaada wako maana nilituma zote na gazeti sikuliona plz nisaidie japo kwa kuliangalia jina langu nimeitwa post ipi naitwa Mwanaisha H.
Mkuu niangalizie legal wameitwa wangap na ni written au oral? Tafadhal
tangazo lao la kazi la mwezi wa 4 mwaka jana planning officers nafasi ni 2 na financial analysts nafasi 4!