Canon 650d with 18-55mm

Canon 650d with 18-55mm

Kwa hiyo umewaacha serious buyer huko PM umekuja kujibizana na mpitanjia ukitegemea utauza hiyo camera!!!!!?

Madhara zaidi unazidi kuya expose mwenyewe!!

Ukiyatajiwa kinagaubaga unaanza kulalamika "oooh mungu anakuona"
Nasisitiza tena hiyo Camera hutaiuza mpaka u behave in public.
Unadhani ni nyanya hizi, zile zama za mteja ni mfalme zmeishapitwa na wakati na wateja washakuja pm wakutosha waluo serioz

Alaf unaweza kuta nabishana na KAOGE ngoja nikuache tuu
 
Kwa hiyo umewaacha serious buyer huko PM umekuja kujibizana na mpitanjia ukitegemea utauza hiyo camera!!!!!?

Madhara zaidi unazidi kuya expose mwenyewe!!

Ukiyatajiwa kinagaubaga unaanza kulalamika "oooh mungu anakuona"
Nasisitiza tena hiyo Camera hutaiuza mpaka u behave in public.
Hahahahahah Kwani inteveiw yako na zamaradi mtairudia lini tena ndgu yang kaoge
 
Kwa majibu haya itakuozea, na ikuozee tu maana hakuna namna, na mimi napendekeza muachieni imuozee.


Hizi adabu za mikia ya mbuzi mara nyingi unazipata kwa malezi ya watoto waliolelewa na nnzazi mmoja.
Sasa mambo ya mzazi yamefikaje hapo?Inaonekana hata wewe malezi haukuwa unakanywa maana unaropoka tu bila kujali impact ya ulichokisema
 
nna mashaka na WEMA mbna kangangania sana kaoge kaoge kaoge ndo nni? ndo nani? unapo oona mtu yupo jf usidhani wote ni vijana au watoto kama ww jaribu kubehave mdogo wangu kama camera ulishapata serious buyer maneno na kejeli za nni
 
Nimetaja viashiria vya ubaya na athari za malezi ya aina hiyo niliyoitaja, usininukuu vibaya.

Malezi ndio subject ya hoja yangu.

Tafadhali usibadili na kuweka mzazi kuwa subject.

Narudia tena huyu camera hatauza mpaka ame behave kwenye kadamnasi.
Sasa mambo ya mzazi yamefikaje hapo?Inaonekana hata wewe malezi haukuwa unakanywa maana unaropoka tu bila kujali impact ya ulichokisema
 
Ushaanza kujichekesha,
Naamini akili itakurejea tu.
Hutauza Camera mpaka ume behave kwenye kadamnasi.
Hahahahahah Kwani inteveiw yako na zamaradi mtairudia lini tena ndgu yang kaoge
 
Na wewe kama ulilelewa na wazazi wote wawili mshukuru Mungu, lakin isiwe sababu ya kuwadharau waliolelewa na mzazi mmoja,, dunia hii twapita tu, waweza ondoka leo na kama una watoto basi na wao wakajikuta wanabaki na mzazi mmoja.
hakika we jamaa ni tahira biashara na maisha ya kifamilia wapi na wapi ww umeniumiza sana hisia zangu kuwa na busara kama huna pesa acha una namna nyingine fanya upate unachohitaji hizo ni kashfa kabisa bwana ww.kulelewa na mzazi mmoja ni matokeo ktk maisha umegusa sehemu mbaya we jamaa
 
hakika we jamaa ni tahira biashara na maisha ya kifamilia wapi na wapi ww umeniumiza sana hisia zangu kuwa na busara kama huna pesa acha una namna nyingine fanya upate unachohitaji hizo ni kashfa kabisa bwana ww.kulelewa na mzazi mmoja ni matokeo ktk maisha umegusa sehemu mbaya we jamaa
Soma vizuri nilichokiandika braza,, maana naona umeniatack wakati aloleta zereu hizo sio mie
 
nna mashaka na WEMA mbna kangangania sana kaoge kaoge kaoge ndo nni? ndo nani? unapo oona mtu yupo jf usidhani wote ni vijana au watoto kama ww jaribu kubehave mdogo wangu kama camera ulishapata serious buyer maneno na kejeli za nni
Naona unatafuta bwana kwa nguvu kwani hujui ww unaweza ukawa mwanangu tena kama huna cha kuandika humu pita pembeni kaanzishe uzi wako
 
watoto wa siku hizi bana ukishaweza kuapload post jf unajiona mjaaanja
 
hakika we jamaa ni tahira biashara na maisha ya kifamilia wapi na wapi ww umeniumiza sana hisia zangu kuwa na busara kama huna pesa acha una namna nyingine fanya upate unachohitaji hizo ni kashfa kabisa bwana ww.kulelewa na mzazi mmoja ni matokeo ktk maisha umegusa sehemu mbaya we jamaa
Msameheni bure jamani unawekuta ni mtoto wa dawa
Soma vizuri nilichokiandika braza,, maana naona umeniatack wakati aloleta zereu hizo sio mie

Sasa mambo ya mzazi yamefikaje hapo?Inaonekana hata wewe malezi haukuwa unakanywa maana unaropoka tu bila kujali impact ya ulichokisema
 
Kwa majibu haya itakuozea, na ikuozee tu maana hakuna namna, na mimi napendekeza muachieni imuozee.


Hizi adabu za mikia ya mbuzi mara nyingi unazipata kwa malezi ya watoto waliolelewa na nnzazi mmoja.
Kwani we humjui Wema kwa nyodo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom