Canelo kutwangana na Kovalev usiku huu

screpa

JF-Expert Member
Sep 10, 2015
10,792
15,693
Mmexico anayeaminika kuwa ni no1 pound-4-pound duniani kwa sasa leo atapanda ulingoni kutwangana na Kovalev; bingwa anayeshikilia mkanda wa WBO kwenye uzito wa Light Heavyweight. Endapo Canelo atafanikiwa kushinda pambano hili anatazamiwa kujivunia heshima kubwa sana kwenye boxing kwani amelazimika kupanda uzito kutoka uzito wake halisi 'middleweight' kwenda kwenye 'light heavyweight' ili kumchalenji bingwa huyo, kitu ambacho kimeonekana ni uthubutu wa hali ya juu 'risky'.
DD-COMPOSITE-TALE-OF-THE-TAPE-Sergey-Saul-v2-1.jpeg
Screenshot_20191102-161658.jpeg
 
Pia kwa wapenzi wa UFC leo tutashuhudia pambano kubwa kati ya Jorge Masvidal na Nate Diaz, pambano hili litamalizika dakika chake kabla ya pambano na kina Canelo
DD-COMPOSITE-TALE-OF-THE-TAPE-NATE-JORGE.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom