Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,125
- 1,533
Habari za muda huu wapendwa ?
King'amuzi cha canal + ni moja ya king'amuzi kinachopendwa sana na wafanyabiashara wanaoonesha mpira kwa kuwa gharama zake ni nafuu na pia njia ya malipo ni ya uhakika wala hakuna mambo ya ujanja ujanja,
Makao makuu ya canal + ni ufaransa na kama ilivyo kawaida lugha maalumu ni kifaransa pekee,
Beam ya canal + inafika kwa uhakika katika nyuzi ASTRA 22 e au chini ya SES 4 ambapo zuku inapatikana au tumia tp hizi 12530 v 27500 ili kupata uelekeo sahihi wa Canal + ,
Wakala mkuu ni Shakur Dunia Salutwe kwa upande wa Tanzania na ofisi ipo kigoma mjini pia unaweza kutupata facebook kwa ukurasa wetu wa CANAL + EAST AFRICA kwa kujiridhisha zaidi.
Chaneli za michezo ni 4 ambazo ni canal sport 1,2,3 na 4 hapo utapata UEFA CHAMPIONS LEAGUE, UEFA EUROPA LEAGUE, PREMIER LEAGUE,LA LIGA, FRENCH LEAGUE 1 na bado kuna utaratibu wa kuongeza EFL CUP, FA CUP na COPA DERLAY ,
Malipo ni 50000/= pekee baada ya ofa ya mwezi wa kwanza kuisha!!.
Karibu CANAL +
King'amuzi cha canal + ni moja ya king'amuzi kinachopendwa sana na wafanyabiashara wanaoonesha mpira kwa kuwa gharama zake ni nafuu na pia njia ya malipo ni ya uhakika wala hakuna mambo ya ujanja ujanja,
Makao makuu ya canal + ni ufaransa na kama ilivyo kawaida lugha maalumu ni kifaransa pekee,
Beam ya canal + inafika kwa uhakika katika nyuzi ASTRA 22 e au chini ya SES 4 ambapo zuku inapatikana au tumia tp hizi 12530 v 27500 ili kupata uelekeo sahihi wa Canal + ,
Wakala mkuu ni Shakur Dunia Salutwe kwa upande wa Tanzania na ofisi ipo kigoma mjini pia unaweza kutupata facebook kwa ukurasa wetu wa CANAL + EAST AFRICA kwa kujiridhisha zaidi.
Chaneli za michezo ni 4 ambazo ni canal sport 1,2,3 na 4 hapo utapata UEFA CHAMPIONS LEAGUE, UEFA EUROPA LEAGUE, PREMIER LEAGUE,LA LIGA, FRENCH LEAGUE 1 na bado kuna utaratibu wa kuongeza EFL CUP, FA CUP na COPA DERLAY ,
Malipo ni 50000/= pekee baada ya ofa ya mwezi wa kwanza kuisha!!.
Karibu CANAL +