Canal + special thread

Canal + special thread

Dola Iddy Wa Chelsea

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,533
Habari za muda huu wapendwa ?

King'amuzi cha canal + ni moja ya king'amuzi kinachopendwa sana na wafanyabiashara wanaoonesha mpira kwa kuwa gharama zake ni nafuu na pia njia ya malipo ni ya uhakika wala hakuna mambo ya ujanja ujanja,

Makao makuu ya canal + ni ufaransa na kama ilivyo kawaida lugha maalumu ni kifaransa pekee,

Beam ya canal + inafika kwa uhakika katika nyuzi ASTRA 22 e au chini ya SES 4 ambapo zuku inapatikana au tumia tp hizi 12530 v 27500 ili kupata uelekeo sahihi wa Canal + ,

Wakala mkuu ni Shakur Dunia Salutwe kwa upande wa Tanzania na ofisi ipo kigoma mjini pia unaweza kutupata facebook kwa ukurasa wetu wa CANAL + EAST AFRICA kwa kujiridhisha zaidi.

Chaneli za michezo ni 4 ambazo ni canal sport 1,2,3 na 4 hapo utapata UEFA CHAMPIONS LEAGUE, UEFA EUROPA LEAGUE, PREMIER LEAGUE,LA LIGA, FRENCH LEAGUE 1 na bado kuna utaratibu wa kuongeza EFL CUP, FA CUP na COPA DERLAY ,

Malipo ni 50000/= pekee baada ya ofa ya mwezi wa kwanza kuisha!!.

Karibu CANAL +
 
Weka picha Mkuu

sent by Samson Cyper
FB_IMG_1500306133154.jpg
 
Habari za muda huu wapendwa ?

King'amuzi cha canal + ni moja ya king'amuzi kinachopendwa sana na wafanyabiashara wanaoonesha mpira kwa kuwa gharama zake ni nafuu na pia njia ya malipo ni ya uhakika wala hakuna mambo ya ujanja ujanja,

Makao makuu ya canal + ni ufaransa na kama ilivyo kawaida lugha maalumu ni kifaransa pekee,

Beam ya canal + inafika kwa uhakika katika nyuzi ASTRA 22 e au chini ya SES 4 ambapo zuku inapatikana au tumia tp hizi 12530 v 27500 ili kupata uelekeo sahihi wa Canal + ,

Wakala mkuu ni Shakur Dunia Salutwe kwa upande wa Tanzania na ofisi ipo kigoma mjini pia unaweza kutupata facebook kwa ukurasa wetu wa CANAL + EAST AFRICA kwa kujiridhisha zaidi.

Chaneli za michezo ni 4 ambazo ni canal sport 1,2,3 na 4 hapo utapata UEFA CHAMPIONS LEAGUE, UEFA EUROPA LEAGUE, PREMIER LEAGUE,LA LIGA, FRENCH LEAGUE 1 na bado kuna utaratibu wa kuongeza EFL CUP, FA CUP na COPA DERLAY ,

Malipo ni 50000/= pekee baada ya ofa ya mwezi wa kwanza kuisha!!.

Karibu CANAL +
Hiki kifaa nakitaka sana hapo kigoma unapatikana sehemu gani? unaweza ukatuwekea namba yako ya simu maana nipo Dar ila ofisi yangu inawawakilishi kigoma wanaweza ninunulia huko,na je malipo kwani lazima kulipwa kwenu si unaweza lipia kwa account ya MTN kupitia mpesa? Fafanua hayo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki kifaa nakitaka sana hapo kigoma unapatikana sehemu gani? unaweza ukatuwekea namba yako ya simu maana nipo Dar ila ofisi yangu inawawakilishi kigoma wanaweza ninunulia huko,na je malipo kwani lazima kulipwa kwenu si unaweza lipia kwa account ya MTN kupitia mpesa? Fafanua hayo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kigoma tupo Kigoma mjini na unaweza kutupa Bandarini Kigoma na Pia jengo la Shirika la Nyumba ofisi ya mkoa na Mwanga Mwembe togwa maeneo ya Break Point.
mawasiliano:-

0743285002 Voda - Bugoma Suleyman
0767489899 Voda whatsup- Shakur D. Salutwe
0626489899 Halotel
0788489899 Airtel
0658489899 tigo
 
Kigoma tupo Kigoma mjini na unaweza kutupa Bandarini Kigoma na Pia jengo la Shirika la Nyumba ofisi ya mkoa na Mwanga Mwembe togwa maeneo ya Break Point.
mawasiliano:-

0743285002 Voda - Bugoma Suleyman
0767489899 Voda whatsup- Shakur D. Salutwe
0626489899 Halotel
0788489899 Airtel
0658489899 tigo
Kilimanjaro?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom