masai dada JF-Expert Member Joined Dec 29, 2013 Posts 16,798 Reaction score 16,810 May 21, 2014 #41 Amavubi said: Click to expand... huyu ndo alimuweka mungu maahabara muda mrefu looh kuna watu tena waponhumu ukiwaonaaa??? UNAEZA KUFURU
Amavubi said: Click to expand... huyu ndo alimuweka mungu maahabara muda mrefu looh kuna watu tena waponhumu ukiwaonaaa??? UNAEZA KUFURU
leipzig JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 2,766 Reaction score 1,714 May 21, 2014 #42 Amavubi said: View attachment 159119 Vicky Kamata ameumbika wajameni, nadhani alimuweka Mungu maabara muda mrefu Click to expand... Amavubi said: Click to expand... Kumbe carolite ni noumer,utafikiri sio yeye!
Amavubi said: View attachment 159119 Vicky Kamata ameumbika wajameni, nadhani alimuweka Mungu maabara muda mrefu Click to expand... Amavubi said: Click to expand... Kumbe carolite ni noumer,utafikiri sio yeye!
marejesho JF-Expert Member Joined Jan 6, 2011 Posts 6,634 Reaction score 3,660 May 21, 2014 #43 Duh. ... Vicky wa zamani na sasa ni vitu viwili tofauti. ..
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 May 22, 2014 Thread starter #44 masai dada said: huyu ndo alimuweka mungu maahabara muda mrefu looh kuna watu tena waponhumu ukiwaonaaa??? UNAEZA KUFURU Click to expand... picha hudanganya sana kiukweli
masai dada said: huyu ndo alimuweka mungu maahabara muda mrefu looh kuna watu tena waponhumu ukiwaonaaa??? UNAEZA KUFURU Click to expand... picha hudanganya sana kiukweli
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 May 22, 2014 Thread starter #45 marejesho said: Duh. ... Vicky wa zamani na sasa ni vitu viwili tofauti. .. Click to expand... usihangaike sana, mwili na nyama tofauti
marejesho said: Duh. ... Vicky wa zamani na sasa ni vitu viwili tofauti. .. Click to expand... usihangaike sana, mwili na nyama tofauti
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 May 22, 2014 Thread starter #46 mtakaobahatika kula mzigo mni-pm
HOPECOMFORT JF-Expert Member Joined Feb 25, 2012 Posts 3,926 Reaction score 6,669 May 22, 2014 #47 Haha Hahaaa!!!!!!! Duh
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 May 22, 2014 #48 View attachment 159119 Ugonjwa umekaa mahala pabaya sana sasa mrembo kama huyu jamani sijui ni nisem nisesememe Nimeshikwa na kigugumizi cha ghafla ngoja nimalizie kusema ukweli - analipa
View attachment 159119 Ugonjwa umekaa mahala pabaya sana sasa mrembo kama huyu jamani sijui ni nisem nisesememe Nimeshikwa na kigugumizi cha ghafla ngoja nimalizie kusema ukweli - analipa
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 May 22, 2014 Thread starter #49 wakubwa wanafaiiiiiiiidi baadae ............... HARUFU said: View attachment 159119 Ugonjwa umekaa mahala pabaya sana sasa mrembo kama huyu jamani sijui ni nisem nisesememe Nimeshikwa na kigugumizi cha ghafla ngoja nimalizie kusema ukweli - analipa Click to expand...
wakubwa wanafaiiiiiiiidi baadae ............... HARUFU said: View attachment 159119 Ugonjwa umekaa mahala pabaya sana sasa mrembo kama huyu jamani sijui ni nisem nisesememe Nimeshikwa na kigugumizi cha ghafla ngoja nimalizie kusema ukweli - analipa Click to expand...
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 May 22, 2014 Thread starter #50 kipi kikuchekeshacho? HOPECOMFORT said: Haha Hahaaa!!!!!!! Duh Click to expand...
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 May 23, 2014 #51 Amavubi said: wakubwa wanafaiiiiiiiidi baadae ............... Click to expand... KIFO sababu wameshakuwa wakubwa uzee unakuwa karibu na baada ya uzee kinachofuata kufukiwa shimoni Jamani mie natamani ningekuwa kitoto kichanga tena kuliko kuwa "mkubwa"
Amavubi said: wakubwa wanafaiiiiiiiidi baadae ............... Click to expand... KIFO sababu wameshakuwa wakubwa uzee unakuwa karibu na baada ya uzee kinachofuata kufukiwa shimoni Jamani mie natamani ningekuwa kitoto kichanga tena kuliko kuwa "mkubwa"
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 May 23, 2014 Thread starter #52 ujana maji ya moto, uzee maji ya baridi HARUFU said: KIFO sababu wameshakuwa wakubwa uzee unakuwa karibu na baada ya uzee kinachofuata kufukiwa shimoni Jamani mie natamani ningekuwa kitoto kichanga tena kuliko kuwa "mkubwa" Click to expand...
ujana maji ya moto, uzee maji ya baridi HARUFU said: KIFO sababu wameshakuwa wakubwa uzee unakuwa karibu na baada ya uzee kinachofuata kufukiwa shimoni Jamani mie natamani ningekuwa kitoto kichanga tena kuliko kuwa "mkubwa" Click to expand...