nipo radhi kumuhudumia mpenzi wangu bila kutegema malipo,tatizo mwanaume mwenye pesa au akija kupata pesa an dharau sana na anona unahitaji kutumia pesa zake which is not true mambo kama hayo yapo lakini sio katika kila mtu wengine huwa na upendo wa dhati mimi natamanigi kumpata mtu nianze nae chini ila basi tuqe wanaume wenye maisha flani mnakuaga na dharau sana