Unaweza kumvumilia mwanaume hata kama hana kazi but tatizo akipata kazi na pesa ya kutosha, maaanina.......utalala peke yako usiku, hufai kutoka nae out, wewe sio mnzuri tena, hujui kutumia maneno kibaoooo, utaishia kuliaaaa weee mpk utakufuru mungu awatie umaskini tena,
Pesa humbadilisha mtu.