sixlove
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 549
- 372
ndugu wa JF, mimi ni mtoaji maarufu sana wa damu, nimeshatoa damu mara tano. Hivi karibuni nimepatwa na tatizo la kuumwa na paji la uso hali maarufu kama kipanda uso, nilipima damu mwezi uliopita nikaambiwa damu yangu ipo 90/100. Je ni kweli ukiwa natabia yakutoa damu unakuwa na damu nyingi mwilini hali hii inapelekea kuwa na maumivu ya kichwa mara kwa mara. nahitaji msaada wenu wakuu