MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,693
- 21,765
Msomi na mfanyabiashara mkubwa jijini Dar es salaam na ambaye pia ni kampeni meneja wa mgombea ubunge Moshi mjini ,William Malecela aka Lemutuz amesema kupitia akaunti yake ya instagram kwamba ushindi kwa mgombea Ubunge (MOSHA) ni mkubwa na ni mapema sana.