Yuko mmoja overseerer wa wauza magenge hapa Nanjilinji alifanya kila linalo wezekana kuunga urafiki na mimi nikawa nimemstukia kiaina mapema sana. Nikamleta karibu ili asipate taabu kufanikisha alichokitaka kwangu. Akawa best rafiki na jamaa yangu. Si kuwa na hofu maana mimi ni raia mwema daraja la juu kabisa(raia mkureshi tuseme hivyo). Mahusiano yetu yakawa ni nipe ni kupe, Kila nikipata habari yenye uzalendo ndani yake naianzishia stori tukiwa naye. Kama jamaa au rafiki kahitilafiana na sheria na yuko mahabusu polisi akihitaji dhamana na mtanguliza yeye mbele dhamana inatoka chapu chapu Siku hizi ni marehrmu RIP nimekosa huduma na company yake. Ila nidhamu yake ilikuwa ya kupigiwa mfano na alikuwa wa msaada kweli.
Sema camouflagers na informers wa bongo ni kama machawa tu wengi hawatumiwi kusaidia maendeleo bali kupeleleza nan anakosoa chama fulan na nani anampinga kiongozi gani, Ila ukiangalia nchi zilizoendelea nyingi wanatumia mabalozi wao 20%kwenye diplomasia alaf 80% wanatumia Kwny ishu za kiujasusi kwa manufaa ya nchi zao kwa njia ya kukusanya data mbalimbali zitakazosaidia kuendeleza nchi zao kweny nyanja zote za Maisha.
Sema camouflagers na informers wa bongo ni kama machawa tu wengi hawatumiwi kusaidia maendeleo bali kupeleleza nan anakosoa chama fulan na nani anampinga kiongozi gani, Ila ukiangalia nchi zilizoendelea nyingi wanatumia mabalozi wao 20%kwenye diplomasia alaf 80% wanatumia Kwny ishu za kiujasusi kwa manufaa ya nchi zao kwa njia ya kukusanya data mbalimbali zitakazosaidia kuendeleza nchi zao kweny nyanja zote za Maisha.
Hamna kitu sikuizi wamechoka tu hata kufikiri, wanaamua kutishaia watu tu ooh sio raia , ooh uhujumu uchumu, mara sijui uchochezi, dalili za kufa kwa vitengo nyeti serikalini, wakijiongeza sana utaskia kampimeni mkojo, CRAP kabisa