camera za siri

camera za siri

huyo kakudharau sana hadi anafanyia chumbani kwako???? mpige chini fasta mkuu
 
nshamteme ila co official ila nataka nimfanye mbaya kwanza
 
amna hii ni kama derby maana huyu nae anajikuta mjanja sasa ntam show mm nan,. kama mwanaume cwez kukubal kizembe weeeee
 
Sasa mbona ameshasoma hii post ameshajua plan yako. Au hapitagi humu?
 
yap siitak kabisa , nia yangu nimshock huyu kinyago

Ana hasara kubwa kuolewa na mume wa dizaini yako (Kama kweli umeoa, you sound childish and may be co-habiting)

Kama ameshakuwa kinyago si umrudishe kwao? Kamera za nini na upuuzi unaojaza hapa?
 
amna mm huwa cfanyi kitu bila mipango. yeye hata facebook hatumii.
 
hapana lazima nimwonyeshe utabe wangu ili anikumbuke na asimulie kwa wajukuu zake. ntamwadhib vibaya mno c vipigo hapana ni kuweka waz kile anachokifanya kwa ndugu zake
 
we ndugun vp kwan hujui asira. okay ww najua huwa hutukan
 
halaf kama ushaona ii kitu ni upuuzi sepa kimya kimya wala cjakuomba mchango wako bali wenye nia ya kunielimisha na kunisaidia. na ndo maana niko hapa. ningelikua na maujanja nsingekuja hapa
 
Back
Top Bottom