General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,116
- 2,285
Yaan hii nchi ni shida kila kona.Ona sasa Azam na wenyewe wameamua kutuua macho tusione.Mpira unaoneshwa kama wachezaji ni maroboti.
Tatiizo sio camera bali ni taa zilizopo uwanjani hazitoshi,wewe unaona kivuli cha mchezaji hahaaa kweli?!!Yaan hii nchi ni shida kila kona.Ona sasa Azam na wenyewe wameamua kutuua macho tusione.Mpira unaoneshwa kama wachezaji ni maroboti.
Azam wameamua kutuua macho dah.Tatiizo sio camera bali ni taa zilizopo uwanjani hazitoshi,wewe unaona kivuli cha mchezaji hahaaa kweli?!!
Usichoelewa Dstv game nyingi hawapigi picha wao
Wamekusikia wakati mwingine wataboresha zaidi, ahsante kwa maoni! All in all Azam wametutoa shimoni hatukuwa tukiona mechi za ligi.Yaan hii nchi ni shida kila kona.Ona sasa Azam na wenyewe wameamua kutuua macho tusione.Mpira unaoneshwa kama wachezaji ni maroboti.
Karibia zote hawapigi, wao wanapokea tu,labda ile ligi ya South Africa ndo hupiga wao..ndo maana inakuwa na muonekano mbaya mnoo.Usichoelewa Dstv game nyingi hawapigi picha wao
Nadhani sasa tunaendelea kupiga hatua moja mbele hata vile viwanja tulivyokuwa atuvitegemei vinakarabatiwa na mechi zinaanza kupigwa usikuYaan hii nchi ni shida kila kona.Ona sasa Azam na wenyewe wameamua kutuua macho tusione.Mpira unaoneshwa kama wachezaji ni maroboti.
Sahihi kabisa, michuano yote ya CAF ina official broadcastiing, UEFA ina official broadcastiing, Euro, michuano ya Fifa, na ile ya kila bara pia ina official broadcastiing ambao sio DSTV. DSTV huwa inanunua haki ya matangazo kutoka kwa official broadcastiing wa michuano husikaUsichoelewa Dstv game nyingi hawapigi picha wao
Kwahiyo taa ndio zinakata sauti?Tatiizo sio camera bali ni taa zilizopo uwanjani hazitoshi,wewe unaona kivuli cha mchezaji hahaaa kweli?!!
King'amuzi cha Azam ni kwa ajili ya watu maskini na wale wasio na akili...Yaan hii nchi ni shida kila kona.Ona sasa Azam na wenyewe wameamua kutuua macho tusione.Mpira unaoneshwa kama wachezaji ni maroboti.
Halafu baadaye sauti ikakata!! Yaani wameanza kufanya kazi kwa mazoeaYaan hii nchi ni shida kila kona.Ona sasa Azam na wenyewe wameamua kutuua macho tusione.Mpira unaoneshwa kama wachezaji ni maroboti.
Punguza ukali wa maneno. Wengine tunalipia hicho king'amuzi kwa ajili ya kufuatilia michezo ya Ligi kuu.King'amuzi cha Azam ni kwa ajili ya watu maskini na wale wasio na akili...
Ishu ni kamera siyo muda..!!!Poleni mngecheza mchana kweupe