Call for interview

Call for interview

Mizzle87

Member
Joined
Jan 10, 2013
Posts
93
Reaction score
6
Wanajamvi habari zenu! Jamani naomba msaada kwa yeyote anaelijua kampuni/taasisi ya organia ltd inahusika na nini? Kwa maana wameniita kesho kwa interview saa nne na sikumbuku niliomba post gani kwao kwani nimetuma maombi sehemu nyingi sana hasa ya online zoom Tanzania na kazi bongo na alienipgia cm hajanieleza lolote baada ya kupata udhibitisho kua anaeongea nae ndie mlengwa na kusema kesho fika kwenye interview sehemu fulani yaani utafikiri ninaugomvi nae.

Ila wao wanapatikana kwa anuani ifuatayo;- Organia Ltd.
16th floor, PPF tower. Ohaio st. na ameniaddress adi mtu wa kuonana nae ni Mr. Ayman. Sasa kuna mtu anaeijua anijuze au km kuna mtu ameshafanya nao interview sio mbaya akanijuza pia.
 
Hawana website??
zen ungeenda ppf tower kama mgeni wa kawaida kupata info za hyo kampuni
 
(Hawana website??
zen ungeenda ppf tower kama mgeni wa kawaida kupata info za hyo kampuni)

Thante mkuu ila nilikua mkoa(moro) na sasa ndio nimelazimika kuanza safari kwa ajili ya wito huo wa kesho na nimejarbu ku-google inaniletea vitu ambavyo sivielewi kabsa na website yao siifahamu.
 
wewe fani yako ni ipi? mi nadhani umeitwa kutokana na ujuzi ulionao mwenyewe na chamsingi ni kuwataya kwa lolote.
 
Vipi mkuu, ulifanikisha? Tunahitaji update pia.

Cjafanikisha mkuu wazungu sio watu kabsa jamaa kwani 2likua watatu na 2meshafanya 2kaambiwa majbu 2tapgiwa cm ivo cjui km kuna mmoja wangu kashapgiwa cm au vp ndio nipo kwa matumaini nackilzia mpk jumatano nikiona kimya inabidi niendeleze ramani nyingne. Mkuu kazi zinatesa sana.
 
wanajamvi habari zenu! Jamani naomba msaada kwa yeyote anaelijua kampuni/taasisi ya organia ltd inahusika na nini? Kwa maana wameniita kesho kwa interview saa nne na sikumbuku niliomba post gani kwao kwani nimetuma maombi sehemu nyingi sana hasa ya online zoom tanzania na kazi bongo na alienipgia cm hajanieleza lolote baada ya kupata udhibitisho kua anaeongea nae ndie mlengwa na kusema kesho fika kwenye interview sehemu fulani yaani utafikiri ninaugomvi nae.

Ila wao wanapatikana kwa anuani ifuatayo;- organia ltd.
16th floor, ppf tower. Ohaio st. Na ameniaddress adi mtu wa kuonana nae ni mr. Ayman. Sasa kuna mtu anaeijua anijuze au km kuna mtu ameshafanya nao interview sio mbaya akanijuza pia.

jaribu kununua daftari hata ya shillingi 300 uwe unaandika kumbukumbu ya mambo yako yanayohusu maombi ya kazi...get serious with your life boy...!
 
Wanajamvi habari zenu! Jamani naomba msaada kwa yeyote anaelijua kampuni/taasisi ya organia ltd inahusika na nini? Kwa maana wameniita kesho kwa interview saa nne na sikumbuku niliomba post gani kwao kwani nimetuma maombi sehemu nyingi sana hasa ya online zoom Tanzania na kazi bongo na alienipgia cm hajanieleza lolote baada ya kupata udhibitisho kua anaeongea nae ndie mlengwa na kusema kesho fika kwenye interview sehemu fulani yaani utafikiri ninaugomvi nae.

Ila wao wanapatikana kwa anuani ifuatayo;- Organia Ltd.
16th floor, PPF tower. Ohaio st. na ameniaddress adi mtu wa kuonana nae ni Mr. Ayman. Sasa kuna mtu anaeijua anijuze au km kuna mtu ameshafanya nao interview sio mbaya akanijuza pia.

Huwezi kusema eti hukumbuki hata nafasi uliyoomba..sasa ni nani humu akukumbushe na uliyeomba ni wewe..jitambue kijana...!
 
Huwezi kusema eti hukumbuki hata nafasi uliyoomba..sasa ni nani humu akukumbushe na uliyeomba ni wewe..jitambue kijana...!


uckurupuke mkuu zaidi angalia uzi ulikua wa mda gani na ata utakachojbu kitakua kina effect ipi? ucpende kuandika kwa kua unajua kuandika nonsense.
 
Huwa inatokea kusahau post uliyoapply..ilinitokea back then,nikatafuta notebook..huwa na note chcht nachoapply iwe by email or by posta..plus post ya wa2 wangapi!short org history..anza sasa...
 
Huwa inatokea kusahau post uliyoapply..ilinitokea back then,nikatafuta notebook..huwa na note chcht nachoapply iwe by email or by posta..plus post ya wa2 wangapi!short org history..anza sasa...

There you are my friend..you said it all. Mtu anayefahamu wajibu wake ndivyo anavyopaswa kufanya! Sio kuja humu kulialia eti umesahau post sijui nini nini...nonesense kabisa!
 
Cjafanikisha mkuu wazungu sio watu kabsa jamaa kwani 2likua watatu na 2meshafanya 2kaambiwa majbu 2tapgiwa cm ivo cjui km kuna mmoja wangu kashapgiwa cm au vp ndio nipo kwa matumaini nackilzia mpk jumatano nikiona kimya inabidi niendeleze ramani nyingne. Mkuu kazi zinatesa sana.

Kama hata ulikuwa hukumbuki nafasi uliyokuwa umeomba katika Kampuni hiyo, ulitarajia ufaulu vip interview. Kwa kawaida interview inahitaji maandalzi ikiwa ni pamoja na kufahamu profile/malengo ya kampuni uliyoomba na uwaambie utawasaidiaje kufanikisha malengo yao. Be serous.
 
Kama hata ulikuwa hukumbuki nafasi uliyokuwa umeomba katika Kampuni hiyo, ulitarajia ufaulu vip interview. Kwa kawaida interview inahitaji maandalzi ikiwa ni pamoja na kufahamu profile/malengo ya kampuni uliyoomba na uwaambie utawasaidiaje kufanikisha malengo yao. Be serous.

Kama ulisoma comments zangu hapo juu utakuwa umenisaidia kumkumbusha dogo kwamba anapaswa kuhandle maisha yake with both hands na sio kimchele mchele...!
 
Huwa inatokea kusahau post uliyoapply..ilinitokea back then,nikatafuta notebook..huwa na note chcht nachoapply iwe by email or by posta..plus post ya wa2 wangapi!short org history..anza sasa...

Ni kweli mtu unasahau hata mie mdogo wangu inamtokea juzi,alisahau post aliyoomba NHIF na hata interviews pia kufuatilia unaweza wanaita we ujui mpk wanafanya we taarifa una inabidi kila mara kufuatilia, kuna kazi moja ilitoka ambayo niliomba nikawa ninauhakika nayo kuitwa kwenye interview kwa sababu na qualification na experience ya kutosha, nikaona mbon kimya nikapitia kuulizia wakanijibu mbona walishaita written, oral tiyari wapo hatua za mwisho kuitwa kazini daah nilikosa raha wk nzima kwani ninakazi hapo nilipo serikalini mshahara midogo uko kwenye mashirika angalau.
 
Huwezi kusema eti hukumbuki hata nafasi uliyoomba..sasa ni nani humu akukumbushe na uliyeomba ni wewe..jitambue kijana...!

Yani we nawe khaa sijui wa wapi, hivi ukiapply nafasi 50 au 80 utakumbuka zote? It happened to me nliapply through agency kama 16 hivi kwa resume za dizain 9 tofauti yani multskilled na sometimes hao agency wanafoward app kwingine ambao wanaweza kukuita kwa usaili. Ajitahidi kuweka kumbukumbu lkn asilaimiwe pia




Sent from Nokla using Jf app
 
Npo vizur sana na mkakati wa maisha yangu, kilchonifanya nikapost hyo kitu nikupata mda wa kujiandaa kwani taarifa ya kuitwa kwenye interview kwa makampuni binafsi sio nzuri kabsa kwa baadhi ya waajiri ikiwa nimepgiwa saa 10 jioni kwa kuulizwa wewe ndie fulani, nikajbu ndio. Kilchofuata kesho saa 3 asubuhi fika kwenye interview bila ata kukukumbusha kua uliomba post fulani ktk kampuni fulani nami mda huo nilikua dodoma na nilpojarbu kumueleza kua nipo mbali kidogo akataka jibu la kua nitafika au sitafika ktk interview hyo, sasa mnafikir wakuu ningepataje kukumbuka hiyo post na ikiwa kumbukumbu zangu zilikua dar na ndio nikawaza nifanye vile ili km nipost iliyokua announced publicly wenda pakawa na mtu ambae angeweza kunikumbusha ikiwa dodoma niltoka kwenye saa 11 jioni hiv dar nikawa nawaza kwa vyovyote dar nitaweza kuingia mda mbovu au pengne nicfike ucku ule kwa itirafu yoyote ambayo ingeweza kunifanya safari yangu inifanye kuamkia moja kwa moja ktk eneo la tukio ndio maana nikapost ivo wadau ila natumai mungu yu mwema mambo yanaweza yakawa kama alivyopanga yeye.
 
Npo vizur sana na mkakati wa maisha yangu, kilchonifanya nikapost hyo kitu nikupata mda wa kujiandaa kwani taarifa ya kuitwa kwenye interview kwa makampuni binafsi sio nzuri kabsa kwa baadhi ya waajiri ikiwa nimepgiwa saa 10 jioni kwa kuulizwa wewe ndie fulani, nikajbu ndio. Kilchofuata kesho saa 3 asubuhi fika kwenye interview bila ata kukukumbusha kua uliomba post fulani ktk kampuni fulani nami mda huo nilikua dodoma na nilpojarbu kumueleza kua nipo mbali kidogo akataka jibu la kua nitafika au sitafika ktk interview hyo, sasa mnafikir wakuu ningepataje kukumbuka hiyo post na ikiwa kumbukumbu zangu zilikua dar na ndio nikawaza nifanye vile ili km nipost iliyokua announced publicly wenda pakawa na mtu ambae angeweza kunikumbusha ikiwa dodoma niltoka kwenye saa 11 jioni hiv dar nikawa nawaza kwa vyovyote dar nitaweza kuingia mda mbovu au pengne nicfike ucku ule kwa itirafu yoyote ambayo ingeweza kunifanya safari yangu inifanye kuamkia moja kwa moja ktk eneo la tukio ndio maana nikapost ivo wadau ila natumai mungu yu mwema mambo yanaweza yakawa kama alivyopanga yeye.

Licha ya yote niliyokusema, nakutakia interview njema ndugu yangu..lakini ni lazima tukumbushane masuala ya msingi katika maisha!
 
Cjafanikisha mkuu wazungu sio watu kabsa jamaa kwani 2likua watatu na 2meshafanya 2kaambiwa majbu 2tapgiwa cm ivo cjui km kuna mmoja wangu kashapgiwa cm au vp ndio nipo kwa matumaini nackilzia mpk jumatano nikiona kimya inabidi niendeleze ramani nyingne. Mkuu kazi zinatesa sana.

s ungechukua contact za hao wenzako??
 
Back
Top Bottom