CALL FOR INTERVIEW: Tume ya Madini

CALL FOR INTERVIEW: Tume ya Madini

Kwanini sisi wenye degree hatujapitia hiyo Form Four Mkuu
Kuna taarifa nimepewa kuwa kuna MAAGIZO wamepewa kutoka juu. Kuanzia ngazi ya DEGREE na kuendelea watolewe kwenye mchakato na wachukue wa FORM FOUR.
 
Kuna taarifa nimepewa kuwa kuna MAAGIZO wamepewa kutoka juu. Kuanzia ngazi ya DEGREE na kuendelea watolewe kwenye mchakato na wachukue wa FORM FOUR.
Ila mbona Tangazo halijataka watu wa Degree mkuu,walihitaji watu wa 4 huku wakiwa na certificate ya Uhasibu/Ugavi/Madini.

Na hata ukiangalia miaka ya nyuma walikuwa wanachukua watu wa 4 tu ila uwe na D ya math au zaid.
 
Back
Top Bottom