CALL FOR INTERVIEW: Tume ya Madini

CALL FOR INTERVIEW: Tume ya Madini

kiziru

Member
Joined
Mar 10, 2019
Posts
37
Reaction score
37
Habari wanajamvi,
Tume ya madini ilitangaza nafasi za kazi kwa wasaidizi wakaguzi. Deadline ilikuwa 12/06/2019.

Je, kuna mdau yoyote aliyeitwa kwenye interview?

Asanteni.
 
Habari wanajamvi,
Tume ya madini ilitangaza nafasi za kazi kwa wasaidizi wakaguzi. Deadline ilikuwa 12/06/2019.

Je, kuna mdau yoyote aliyeitwa kwenye interview?

Asanteni.
Yaani Deadline 12/06/2019 unauliza interview leo je ukipata hiyo kazi ikitokea hujalipwa hela ya mwisho wa mwezi itakuwaje,jifunze kuwa subra ndugu acha taratibu ziendelee.
 
Habari wanajamvi,
Tume ya madini ilitangaza nafasi za kazi kwa wasaidizi wakaguzi. Deadline ilikuwa 12/06/2019.

Je, kuna mdau yoyote aliyeitwa kwenye interview?

Asanteni.
Kiziru eya bukoba
 
Back
Top Bottom