Call for interview stamico

Call for interview stamico

Naona kuna watu wameitwa nafasi mbili tofauti. i.e mtu ameitwa kwenye nafasi fulani kisha jina lake hilo hilo linaonekana tena kwenye nafasi nyingine.
 
Nadhani siku hizi imekuwa kawaida mtu kuitwa kwenye nafasi zaidi ya moja but nadhani inawanyima chance wengine coz wengi huwa hawawezi kufanya intrv kwenye post zote walizoitwa, kama walizoita utumishi hapa juzi juzi kuna dada from Arusha kaitwa kama sehemu 7 hv na kuna sehemu ziingine 3 kati ya hizo 7 kaitwa peke yake tu. But all in all aligharamika kutuma barua nyingi thats y wakamwita kote huko. Invest more get more.......Thanks GOD mi nimeitwa Administrative Officer II.
 
They are smart sio nafasi 10 mnaita watu 1000,it's sad hawajanishortlist,all the best for the shortlisted.

Mimi kila siku huwa nalia na hao wanaojiita tume ya utumishi sijui tume ya ajira, they are stupid and very stupidy how come STAMICO wameweza lakini wao bado wanaleta uzushi uzushi tu nafasi moja wanaita watu 1000? Yaani hata leo nisikie tume ile imefutwa potelea mbali maana hakuna wanachokifanya zaidi ya kutaabisha watoto wa masikini tu basi
 
nshakosa hizooo, naangalia nyingine sasa
hahahahahahahaha hadi raha:frusty::frusty:
 
Habari wadau ,naona post niliyoomba nimecheck haijawekwa,post ya Economist, mwenye list nyingine au info.
 
They are smart sio nafasi 10 mnaita watu 1000,it's sad hawajanishortlist,all the best for the shortlisted.

Aha hah.. Ofcourse they are. Also, they release the shortlist early than we have expected. I applied the post, but I am unsuccessful too. All the best to the shortlisted candidates.
 
Habari wadau ,naona post niliyoomba nimecheck haijawekwa,post ya Economist, mwenye list nyingine au info.

Labda ishakatwa kidogo si wajua tena mambo ya AIRTEL money, siku hizi lazima ukatwe kidogo
 
Naona kuna watu wameitwa nafasi mbili tofauti. i.e mtu ameitwa kwenye nafasi fulani kisha jina lake hilo hilo linaonekana tena kwenye nafasi nyingine.

Ni kweli mkuu nakumbuka kwenye tangazo lao walisema mtu unaweza apply nafasi mwisho mbili kama una fit.Natumai hao wali apply kwenye post mbili tofauti
 
Post nyingine nadhani bado hawajashort lists..wameshort list part of but mwenye taarifa atujuze...
 
Post nyingine nadhani bado hawajashort lists..wameshort list part of but mwenye taarifa atujuze...

Be patient guys.. I hope you will be in the list.

If they release only few posts, why didn't they announce it on their website? May be no one was seemed qualified on these posts so they are still vacant? :frusty:
 
pole secret service uko mtaani kwa muda gani?niko mtaani 2011 !

Nope.. am New Comer on the street. I think you know what I mean... By the way, soon all things will be clear brother.:amen:
 
Habari wadau ,naona post niliyoomba nimecheck haijawekwa,post ya Economist, mwenye list nyingine au info.

Hiyo imekosa watu, watu walioapply hawakuwa na vigezo, it will be re advertised soon.
 
Hiyo imekosa watu, watu walioapply hawakuwa na vigezo, it will be re advertised soon.

Kweli mkuu? Vigezo na qualification watu baadhi walioomba hiyo post mbona wanakidhi??? Mmmhhh!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom