Call for interview: Hakimu mkazi II

Call for interview: Hakimu mkazi II

Kazi za mahakimu...rais kasema mwaka huu wataajiri 300 tu...graduates wapo zaidi ya 4000
 
Nimejaribu kutafuta hayo
majina kwenye web site yao lakn nimekosa. Ninalo gazette hapa taja jina
lako nikuangalize NA nafas uliyoomba.

mkuu naomba uniangalizie Jackline kessy hakimu mkazi
 
Sorry lakini naomba kujua, ukisoma sheria za Tanzania unaweza ajiriwa nchi kama Bhutan ama Bruney kwa nafasi hiyo hiyo ya uhakim?
 
Kwa waliokosa kama mm tatizo ni sap law school hivyo tufanye juhudi kusapua
 
Jamaa wako vizuri pamoja na sap yangu wamenipigia simu kunieleza hivyo nikaze buti
 
Back
Top Bottom