Cake offer! Offer! Offer!

Cake offer! Offer! Offer!

simba songea

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2016
Posts
1,496
Reaction score
1,219
Tunatoa offer za keki kwa bei rahisi. Pia tunakuletea popote ulipo
Cake [emoji512] za:

GRADUATION
BIRTHDAY
COMMUNION
ANNIVERSARY
KITCHEN PARTY
SEND OFF
WEDDING n.k
0717-966 128
0787-403 768

5b9fe36001b0e1cef6c3f480af80b044.jpg
32618acaf63fb7b0d92d3e81e0198ecf.jpg
Hizi ni Tsh 25,000 zamani

375cf46a288102a1bd4aaa94532c420d.jpg
Hizi kila moja ni Tsh 30,000

27600f030622d283fc9a54f0ff2cf65d.jpg
Hizi kila moja ni 35,000

61b47d7aa6b41776b748a5b7b6c47b81.jpg
3a77ee06ca3cf14c9ef0ccfbef1da871.jpg
ace58c7af7de525370c0ea096bdefac1.jpg
Hizi ni 35,000

Pia tunauza cake plain (zisizopambwa) kila moja 15,000

d44bfadc1a240271412364dfc60008c1.jpg

131c128462f3b4214502982a5a6fbeba.jpg
3e907a64a1ee0eecc0f661b68b5c7b58.jpg


Tunafanya delivery kwa wateja wetu waliopo Dar na nje ya Dar.
Mawasiliano:
0717-966 128 tigo
0787-403 768 airtel

Mteja Kwetu ni mfalme na malkia karibu sana.
 
Poa vipi dalali nikihusika kuna....tatizo ila kabei mnipunguzie 10%kwa mteja nitakaye mleta okay
Namba nshachukua
 
Mkuu offer manake nini sijaelewa kabisa apo mana hivo bei ndo hizo hizo tunanunua bakery zingine
 
Maandalizi ya keki ni machafu,Chopping board ni bei gani kariakoo?ungo wa nn enzi hizi?Hizo keki ni nzuri kiasi lakini maandalizi ya ungo na gazeti karne hii ni uchafu,unadil na roho za watu.Je una bar code?weweeee usinibip!
 
Back
Top Bottom