johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,640
- 142,990
CAG Kichere amesema Hasara nyingine wanayoingia NHIF inatokana na Wastaafu na Wenza Wao kufaidika na Fedha za Mfuko huo Bila Wao kuchangia
Kicheere amesema Wastaafu na Wenza Wao wanaugharimu Mfuko wa Bima tsh 84.7 billion kila Mwaka Bila Wao kuchangia.
Mlale Unono
Kicheere amesema Wastaafu na Wenza Wao wanaugharimu Mfuko wa Bima tsh 84.7 billion kila Mwaka Bila Wao kuchangia.
Mlale Unono