CAG: Wabadhirifu, mafisadi sasa kukiona

kibogo

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
9,739
Reaction score
4,746


My take
Kama kweli taasisi hii ingekuwa ina meno nafikiri tungeshuhudia wale wote waliohusika katika ufisadi wa EPA, RICHMOND, DOWANS, MEREMETA, KAGODA na sasa hivi ESCROW wakiwa gerezani hadi sasa lakini cha ajabu nguvu zao wanazimalizia kwa vidagaa wakiacha haya mafisadi papa ambayo yamesababisha hadi nchi inakosa misaada kutoka kwa wahisani.
 
Siasa hizo tumezizoe,yaani badala ya kupeleka report ya escrow bungeni yeye kaenda kuvuta bahasha bagamoyo
 
huyo Naibu kwanza anajipigia debe yy ili wamteue kuwa MKAGUZI MKUU, baada ya bosi wake UTOAH Kustaafu.
 
Siasa hizo tumezizoe,yaani badala ya kupeleka report ya escrow bungeni yeye kaenda kuvuta bahasha bagamoyo

eti ""kuvuta bahasha"".

Umenifurahisha kamsemo hako bulaza!!
eh!eh! . so funy aisee!
 
HUYU Naibu wa CAG anaongea UTUMBO HAPA...we are keenly waiting for ESCROW REPORT...ASAP...m.@vi kweli huyu...!!!
 
huyo Naibu kwanza anajipigia debe yy ili wamteue kuwa MKAGUZI MKUU, baada ya bosi wake UTOAH Kustaafu.

Jenerali wala haiko ivo,huyu ni just DAG(Deputy Auditor General) tu kwa ajili Local Government!wa kujipigia debe pengine angesemwa Bwn.Mwakapalila ambae ndio Kaimu CAG
 
Siasa hizo tumezizoe,yaani badala ya kupeleka report ya escrow bungeni yeye kaenda kuvuta bahasha bagamoyo

Alisema eti iko mezani kwake bado anaisoma...

Then hajamaliza kuisoma kaja na huu "mkwara wa mende kuangusha kabati"
 
HUYU Naibu wa CAG anaongea UTUMBO HAPA...we are keenly waiting for ESCROW REPORT...ASAP...m.@vi kweli huyu...!!!

Mkuu CAG siyo kosa lake ila la wanaomtuma.
Wakiona ripoti inawagusa hawaitoi kamwe ili ishughulikiwe.
Ni kama polisi anayetumwa kuchunguza wizi,ikikutwa ameiba mjomba naye alikumegea, ripoti inapotezwa.

Na huo ndo ukweli wenyewe ama sivyo tungejua mwisho wa EPA, RADAR , MEREMETA na sasa IPTL Escrow .
Waliofaidika hawawezi kujiumbua wakati ripoti ziko mikononi mwao.
 
panya watakiona vp,ikiwa huyo paka hana meno wala kucha.....
 
Ethics za kazi ya ukaguzi inazuia matamko ya kisiasa kama alivyofanya huyu jamaa. Mbona wataalamu wetu wanakosa mwelekeo jamani????????
 
Kengemanyoya anaongea kamakakalia kigogo bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…