CAG wa Zanzibar ni nani?

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,089
Reaction score
134,507
Swali linajieleza. Nani CAG wa Zanzibar?
Mbona ripoti zake hazisikiki. Je, hakuna ufisadi wa kulipua huko Zanzibar?

Kama huyu CAG wa Bara Ndugu Kichere ndiye CAG wa Zanzibar, mbona hatumsikii akiitaja Zanzibar katika ripoti zake?
 
Kichere ni CAG wa Tanzania sio Tanganyika so nina amini pamoja na Zanzibar wenye kujua zaidi watasema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…